Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una miaka 19 kwahiyo!!Inategemeana na mloo na lifestyle ya mtu Kuna mzee hapa kwetu ana 76 anambato mademu Kama mweu Ila nimmaasai yupo slim mrefu mweusi ana mbato hivi vi teenagers mpaka basi yupo fit Sana anasema yeye kila siku anapiga maziwa na kitunguu swaumu (2) kwanzia akiwa 30 Hadi Leo ni mshakiji wangu japo kanizidi 57 years sema ni mwana Sana kwaiyo hamna Cha umri Wala nn ni afya tu mzee [emoji1733]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hiyo kitu inachosha sana. Kimoja tu mpaka siku 3
Wewe unaenda round moja vipi na yeye ulishamuuliza anaenda ngapi?Me mwenyewe nina miaka 20 ila naenda one round na anaridhika
Ni mwana sasa nifanyaje Ila freshAna miaka 76, kakuzidi miaka 57, (76-59= 19.) Kwa umri wako wa miaka kumi na tisa uyo ni babu yako wala hupaswi kumfanya kuwa mshkaji wako.
YesUna miaka 19 kwahiyo!!
Maraabaa mjukuu.
Ndiyo mnadanganyana hivyo!Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.
Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena nitakuwa Sina mume mwenzenu
So una miaka 19??? JesuuuInategemeana na mloo na lifestyle ya mtu Kuna mzee hapa kwetu ana 76 anambato mademu Kama mweu Ila nimmaasai yupo slim mrefu mweusi ana mbato hivi vi teenagers mpaka basi yupo fit Sana anasema yeye kila siku anapiga maziwa na kitunguu swaumu (2) kwanzia akiwa 30 Hadi Leo ni mshakiji wangu japo kanizidi 57 years sema ni mwana Sana kwaiyo hamna Cha umri Wala nn ni afya tu mzee [emoji1733]
YesSo una miaka 19??? Jesuuu
[emoji58]Maraabaa mjukuu.
Ni story tu!! inategemea life style! Nina 53 kuelekea 54 sasa ....Niko fiti tu!Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.
Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena nitakuwa Sina mume mwenzenu
kheri ya mwaka 2023Michepuko inakupa maufundi yote ya kikahaba lazima upagawe
Asante sana kamanda. Nawe piakheri ya mwaka 2023