Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

Jiwe Gizani

Kama wamepanick vile[emoji23][emoji23]
 
Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.

Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
Usiishi maisha ya kukariri Mama Edina. Kuna watu tuna umri mkubwa, na bado nguvu zipo. Yaani tuna uwezo mara 2 ya wale vijana wala chips yai.

(am sorry, sipo hapa kwa ajili ya promo) 🤗
 
Hujajibu swali. Weka facts za kitaalam kama alizoweka mwenzako. Unajiongelea wewe au wanawake wote? Umezitoa wapi hizo proof? Tuambie source otherwise wewe muongo
Huyo aliyeweka fact za kitaalamu ni nani? Unaweza kunionesha?
 
Hakuna mwanaume amewahi kushindana na hiyo kitu akashinda, hayupo.

Kwa vile at 40 ndio maisha yanaanza, hata hiyo Moja sio mbaya kama pande zote mbili zimeridhika, kwani ugomvi?

Vijana wanaotuma nauli, kulipia guest na kununulia chips kuku ndio wanataka kufidia gharama zao.
Halafu hako kamoja kanakuwa kametumia dk ngapi mkuu? 😂😂
 
Mambo ya humu jf ukiyaweka akilini unaweza kuyaona maisha hayana maana na kujiua.........

Kiuhalisia mwanaume wa miaka 50 bado mdogo sana........Tena ndio umri wa kulifurahia tendo.........

Labda uongelee miaka 70s huko.....

Changamoto za kiafya huweza kumkuta mtu yoyote...katika umri wowote
Wachangiaji wenyewe hawajafika 40yrs halafu wanazumgumzia what it's like being 40yrs old.
 
Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.

Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
Ukiona mwanamke analalama anataka cha pil au cha tatu basi jua cha kwanza hukumridhisha na ulienda mda kidogo sana.. nawambia watu mara nying. Hakikisha cha kwanza umeenda zaid ya dk 35... Penetration na fore play iwe ni dakika 15.. na uwe mtundu kucheza na vidole vyako... Ukimfanya hiv mwanamke hata siku moja haweza lalama kwamba unaenda ki1 tu
 
Sintosahau kwenye my 20s nilipigaga sana vitano na vyote ilikua fasta tu...siku hizi umri ume-double na show ime-half. Ila hadi la pili litoke umeongea lugha zote. La 3 ndo ujue siku hiyo unachezea kifo 😆😆
 
Wachangiaji wenyewe hawajafika 40yrs halafu wanazumgumzia what it's like being 40yrs old.
Sijui watu wanayachukuliaje mambo ya umri...... mwanaume wa miaka 50 bado kijana kabisa......mwanaume unaanza kuuona uzee kuanzia miaka 60 na kuendelea.....hata wewe mwenyewe tu ukijitazama unaona kweli naelekea ukingoni......
 
Halafu hako kamoja kanakuwa kametumia dk ngapi mkuu? 😂😂

Nimeweka hapo angalizo, kuridhika Kwa Kila mmoja wetu ndio dhumuni na lengo kuu. Akikamilisha dakika Tano, namie nafanya makeke mchezo unaisha. Uzuri sie mambo yetu sio kutafuta channel unabahatisha Mara inakuja inapotea inakata inarudi inakuja tena, hapana. Ukiamua Sasa tunamaliza, no turning back.
 
Inategemea na mwanaume wako, mimi hapa 40+ na napiga kadhaa freshi tu, sema pia huwa nazingatia lishe bora, mazoezi n.k.
 
Wanaume tutunze nguvu zetu zitatusaidia uzeeni huko ila sio kutumia nguvu kuhangaika kumfurahisha mwanamke hapana, piga goli moja Kisha kafanye shughuli za maendeleo hizo goli mbili sijui tatu za nini unapoteza nguvu zako ambazo zingekusaidia uzeeni kutembea
 
Back
Top Bottom