Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

Inategemeana na mloo na lifestyle ya mtu Kuna mzee hapa kwetu ana 76 anambato mademu Kama mweu Ila nimmaasai yupo slim mrefu mweusi ana mbato hivi vi teenagers mpaka basi yupo fit Sana anasema yeye kila siku anapiga maziwa na kitunguu swaumu (2) kwanzia akiwa 30 Hadi Leo ni mshakiji wangu japo kanizidi 57 years sema ni mwana Sana kwaiyo hamna Cha umri Wala nn ni afya tu mzee [emoji1733]
Vitunguu dawa sana!

Vinazuia baadhi ya Kansa e.g. colorectal ca.
 
Wanaume hawa wanaosema chitaki ndio wakuwafananisha na wanaume wa miaka 40+
 
Na wanawake huo umri ndio nguvu za kike zinazidi huku mume wake nguvu za kiume zimepungua. Hapa boda boda ndio wanaokoaga jahazi na wale ma gym trainer
Umesahau ma massage parlour.
 
Una lipi la kusema kuhusu mada tajwa hapo juu
kwanza yakupasa utambue sex ni starehe na siyo kukomoana mnapaswa kufanya maandalizi mazuri wewe na mwenzio then mkipandana kimoja au viwili nyote mnaridhika lakini ukitaka upigwe bao 4 au 5 jamani natafuta nini huko zaidi ya kuchoshana wakati akili inawaza mambo mengi kwa wakati huo huo
kama mwanamke ni wanikuridhika na bao moja ataridhika na kama siyo wakuridhika hata umkaze magoli 10 bado ataona kama hujafanya kitu
 
Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.

Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
Kwaiyo ambao hatujafikisha 40 tumalizane na kila aina ya mbususu?
 
kwanza yakupasa utambue sex ni starehe na siyo kukomoana mnapaswa kufanya maandalizi mazuri wewe na mwenzio then mkipandana kimoja au viwili nyote mnaridhika lakini ukitaka upigwe bao 4 au 5 jamani natafuta nini huko zaidi ya kuchoshana wakati akili inawaza mambo mengi kwa wakati huo huo
kama mwanamke ni wanikuridhika na bao moja ataridhika na kama siyo wakuridhika hata umkaze magoli 10 bado ataona kama hujafanya kitu
Well said👏
Magoli mengi sio ndio kumridhisha mwanamke, hii wanaume wengi wanatakiwa watambue.

Wengi wanajisifu kusimamia ukucha ila wanashindwa kuridhisha wanawake wao.
 
Well said[emoji122]
Magoli mengi sio ndio kumridhisha mwanamke, hii wanaume wengi wanatakiwa watambue.

Wengi wanajisifu kusimamia ukucha ila wanashindwa kuridhisha wanawake wao.
unaweza simamia ukucha hata mpaka asubuhi mwishoe mnatoka hapa na michubuko na maumivu kwahiyo inakuwa karaha raha ya mapenzi mpatane watu mnao elewana na kusikilizana kila kitu kinakuwa pouwah hata akikugusa na kidole unaridhika
 
unaweza simamia ukucha hata mpaka asubuhi mwishoe mnatoka hapa na michubuko na maumivu kwahiyo inakuwa karaha raha ya mapenzi mpatane watu mnao elewana na kusikilizana kila kitu kinakuwa pouwah hata akikugusa na kidole unaridhika
Unatumia kinywaji gani nikuagizie ufungie mwaka leo mkuu
 
Inategemeana na mloo na lifestyle ya mtu Kuna mzee hapa kwetu ana 76 anambato mademu Kama mweu Ila nimmaasai yupo slim mrefu mweusi ana mbato hivi vi teenagers mpaka basi yupo fit Sana anasema yeye kila siku anapiga maziwa na kitunguu swaumu (2) kwanzia akiwa 30 Hadi Leo ni mshakiji wangu japo kanizidi 57 years sema ni mwana Sana kwaiyo hamna Cha umri Wala nn ni afya tu mzee [emoji1733]
Ana miaka 76, kakuzidi miaka 57, (76-59= 19.) Kwa umri wako wa miaka kumi na tisa uyo ni babu yako wala hupaswi kumfanya kuwa mshkaji wako.
 
nimejaribu kupiga hodi but milango imefungwa mkuu nilikuwa najuletea juice ya lemon vs passion but umefunga milango
Hahaaa em gonga kwa nguvu mbona sijasikia, nipo jikoni napika ugali

Hiyo juice itanifaa kushushia ugali wangu
 
jambo moja kubwa kwa mwaname na mwanamke kufahamu ni kuwa mapenzi huanzia akilini na baadae huishia mwilini nikimaanisha kwenye tendo hivyo sex ni vile mtakavyo weza kuandaana mapema ili kila mmoja wenu aridhike na mwenzie ili aweze kuwa na hisia nae
 
Mambo ya humu jf ukiyaweka akilini unaweza kuyaona maisha hayana maana na kujiua.........

Kiuhalisia mwanaume wa miaka 50 bado mdogo sana........Tena ndio umri wa kulifurahia tendo.........

Labda uongelee miaka 70s huko.....

Changamoto za kiafya huweza kumkuta mtu yoyote...katika umri wowote
 
1. Lishe kula vyakula vyaprotain zaidi.
2.life style ya mtu kuna vitu inatakiwa kuacha. ..unywaji pombe kupindukia,sigara. ..kutofanya mazoezi.
3.Saikologia /mazingira ya nyumbani nimuhimu kumsaidia baba awe ametulia kiakili as hii kitu inaanzia na hisia zaidi km home hakuna amani usitegemee jamaa atapafomu vzr.
 
Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.

Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
Nichangie jambo juu ya umri tendo na ndoa au mahusiano kamili.
Jambo muhimu linalobeba afya ya tendo la ndoa au mahusiano ni kujitunza kwa wote wawili mume na mke na kua ngalia nini unakula na nini unakunywa kwenye maisha kwa ujumla bila kuacha kufanya mazoezi japo kwa dakika tano kila siku au dakika 30 kwa siku mbili.
Pia aina gani ya vyakula na mafuta unatumia. Aina gani ya matunda unakula. Mfano tende, tangawizi, komamanga, tikiti maji, cantaloupe, seamoss, fenugreek powder, mtindi, walnuts, Cinnamon, shrimp, ugali, maji ya kutosha, na aina zote za wanaotoka baharini wenye Zinc.
Mapumziko ya kutosha. Mahusiano yenye afya, hivyo vyote vinafanya mwanaume uwe imara muda wote na saa zote unapohitajita na kupiga mabao yoyote yanayohitajika kwa mwanamke wako au mkeo.
Mazoezi yanasaidia kufanya mwili wako uwe vizuri kiafya kwa jambo lolote lile ikiwemo tendo la ndoa.

Lakini ulevi kutokula vizuri na kushindia chips mayai , kutokupumzika vizuri na umri unavyosogea basi hufanya viungo vingine viwe kizembe zembe...na ndiyo mwanzo wa kutosimamisha vizuri. Au kutokwenda umbali mrefu ikichangiwa na pumzi kukata mapema
.
Kula vizuri vyakula bora utaona matokeo yake.

Mimi hapo nimeweka baadhi tu ya mambo na vyakula vinavyoweza kuwafanya mfurahie mahusiano.
 
Back
Top Bottom