Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

Sio kweli.

Nimejibu kwa ufupi sana kwakua sitaki maneno mengi.
 
Una miaka 19 kwahiyo!!
 
Ni ajabu hamjakaa kikao na sie kaka zenu wa 40+ tukawaambia ukweli, mnakuja kupiga ramli chonganishi tu hapa.
 
Ana miaka 76, kakuzidi miaka 57, (76-59= 19.) Kwa umri wako wa miaka kumi na tisa uyo ni babu yako wala hupaswi kumfanya kuwa mshkaji wako.
Ni mwana sasa nifanyaje Ila fresh
 
So una miaka 19??? Jesuuu
 
Deal ni 40+
mikunjo na minyunyano ibaki kimasihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…