Kwahiyo wanaume waende kwa waganga wasilogwe?Mimi ninachokijua wanawake wasiowaminifu wanawaloga waume zao kwa waganga ili wawatawale! Mwanamme anayejielewa hawezi kulogwa na mke! NI mazwazwa ndo mwisho wa siku wanapigwa na wake zao!
Wengi wao hawaheshimu bali wanawaogopaHii kawaida sana...
Japo najua ni kuheshimu tu na siyo woga
Umesema vyema. Hakuna maana yoyote kuishi na mwanamke ambaye hauwezi kumheshimu. Hata ninayechepuka naye ni lazima awe yule tunaweza kuheshimianaHii kawaida sana...
Japo najua ni kuheshimu tu na siyo woga
Ni wale wasio na uwezo wa kutafuta mbadala pindi wanaposumbuliwaHuo ndo ukweli. Alaf ukiwakuta huko nje vijiweni na umu jf wanavotunisha vifua waonekane wake zao wanawasujudia kumbe wao ndo wanawasujudia wake zao π wanawaogopa wake zao mpaka wanatia huruma wengine wamegeuka mazoba wanapokua majumbani ππ mbaya zaidi baadhi ya wanawake hawajui kama waume zao wanawaogopa!!
Huo ndo ukweli. Alaf ukiwakuta huko nje vijiweni na umu jf wanavotunisha vifua waonekane wake zao wanawasujudia kumbe wao ndo wanawasujudia wake zao π wanawaogopa wake zao mpaka wanatia huruma wengine wamegeuka mazoba wanapokua majumbani ππ mbaya zaidi baadhi ya wanawake hawajui kama waume zao wanawaogopa!!
Hii kawaida sana...
Japo najua ni kuheshimu tu na siyo woga
Sure yaanWengi hatupendi ugomvi sababu shetani hakai mbali.
Nikichelewa kurudi ukipiga kelele watoto na majirani wakasikia na mimi nikakaa kimya haimaanishi nakuogopa.
Ni njia ya kukufundisha kuwa siambiwi hivyo.
Kesho ntachelewa makusudi tena.
Uache kuchepuka sasa mkuuUmesema vyema. Hakuna maana yoyote kuishi na mwanamke ambaye hauwezi kumheshimu. Hata ninayechepuka naye ni lazima awe yule tunaweza kuheshimiana
Pia mwanamke anajisikia flan akisema mimi mume wangu hanisumbui nimemuweka hapa,Sure yaan
Haka kaushauri haka hebu kaweke kando kwanza. Mambo mengine niya kurithi kwenye ukoo, sasa si unajua sisi wengine babu yetu mzee Suleiman mdiyo ilimuwa mambo zake na kama ujuavyo, vya kurithi huwa vinazidi.Uache kuchepuka sasa mkuu
π€£OkHaka kaushauri haka hebu kaweke kando kwanza. Mambo mengine niya kurithi kwenye ukoo, sasa si unajua sisi wengine babu yetu mzee Suleiman mdiyo ilimuwa mambo zake na kama ujuavyo, vya kurithi huwa vinazidi.
Hongera zaoPia mwanamke anajisikia flan akisema mimi mume wangu hanisumbui nimemuweka hapa,
Ushaombwa hela na mkeo mbele ya shoga ake,afu ndefu na hukupinga chaaap unasema card ilipo akachukue mzigo.
Hapo kichwa hikooo kitamvimba
Kwamba wanaume wao hawajui kuloga? Wakaloge wasilogweMimi ninachokijua wanawake wasiowaminifu wanawaloga waume zao kwa waganga ili wawatawale! Mwanamme anayejielewa hawezi kulogwa na mke! NI mazwazwa ndo mwisho wa siku wanapigwa na wake zao!