Fa
Huo ndo ukweli. Alaf ukiwakuta huko nje vijiweni na umu jf wanavotunisha vifua waonekane wake zao wanawasujudia kumbe wao ndo wanawasujudia wake zao ๐ wanawaogopa wake zao mpaka wanatia huruma wengine wamegeuka mazoba wanapokua majumbani ๐๐ mbaya zaidi baadhi ya wanawake hawajui kama waume zao wanawaogop
Fafanua kidogo, wanawaogopa,kwamba wanahofia kupigwa makofi? Uoga wao ni kama wa mwananchi kwa mjeda?mwanafunzi kwa mwalimu? Au,? Konda kwa polisi?
Au, ile Hari ya maanaume, kuweka Amani, na kuamua kutotumia mateke na Nguni, katika kutatua changamoto?
Ujasiri sio kutia mke makofi , Nguni, mateke pale unapohisi amekosea, tena mbele ya watoto! Wakati mwingine, ni vyema ukae Kim ya, ili kuleta Amani, Mambo ya familia hayatatuliwi kwa maguvu, kama bado unaamini, mfsno meet, akigoma kukupikia, kufua, basi suruhisho hapa ni kumtandika magumi, na mateke, fukuza, akuachie watoto utalea mwenyewe na mama wa kambo!bro bado hujakomaa! Mke ukimchoka, fukuza taratiiibu, kwa kufata sheria, rudisha kwao akiwa Hana hata mkwaruzo!
If you know ur strength, huna haja ya kujimwambafy!