Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kipimo cha akili na uwezo wa kifedha kwa Mwanaume ni namna anavyocontrol hisia zake za mapenzi.
Duniani kote mwanaume mwenye akili hapendi migogoro kwenye ndoa yake wala maisha yake.
Ndio maana hata wale waliofanikiwa kiuchumi, masadaka au siasa hawaoi kabisa au wana kuwa na mwanamke mmoja tu.
Kama wewe una mume mwenye wanawake wengi jua kabisa umeolewa na Punguani shukuru Mungu ana akili za kuvuka baarbara na vihela vya kula na kulala
Duniani kote mwanaume mwenye akili hapendi migogoro kwenye ndoa yake wala maisha yake.
Ndio maana hata wale waliofanikiwa kiuchumi, masadaka au siasa hawaoi kabisa au wana kuwa na mwanamke mmoja tu.
Kama wewe una mume mwenye wanawake wengi jua kabisa umeolewa na Punguani shukuru Mungu ana akili za kuvuka baarbara na vihela vya kula na kulala