Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
Aliangukia pua baada ya kuoa wake wengiKuna geneus kuliko seleman/solomon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliangukia pua baada ya kuoa wake wengiKuna geneus kuliko seleman/solomon
Dangote ana wangapi?Kipimo cha akili na uwezo wa kifedha kwa Mwanaume ni namna anavyocontrol hisia zake za mapenzi.
Duniani kote mwanaume mwenye akili hapendi migogoro kwenye ndoa yake wala maisha yake.
Ndio maana hata wale waliofanikiwa kiuchumi, masadaka au siasa hawaoi kabisa au wana kuwa na mwanamke mmoja tu.
Kama wewe una mume mwenye wanawake wengi jua kabisa umeolewa na Punguani shukuru Mungu ana akili za kuvuka baarbara na vihela vya kula na kulala
Hapa ndio wengi wanashindwa… kipato kidogo.Hiyo ni kazi kubwa sana sana ambayo inaweza kukukosesha muda wa kufanya mambo ya msingi kukuongezea kipato chako
Elon hana hata mmojaElon Musk anao 12 na bado ana muda wa hayo ya msingi na anakimbiza dunia mchakamchaka kama kawaida!
Diamnond au yupi?Dangote ana wangapi?
Halafu mwenyewe amejitutumua kujiona kichwa kwelikweli kumbe kaandika utopolo tu.Hivi JF siku hizi imekuwaje? Yaani mtu anabandika tu post. Hakuna reference, hakuna ushahidi wa mtu au kitu, lakini post inabandikwa tu. Halafu eti ni great thinker! Ahahahahaha!!
Kwani mke ni nini? Karatasi la padre na shekhe?Elon hana hata mmoja
Halafu mwenyewe amejitutumua kujiona kichwa kwelikweli kumbe kaandika utopolo tu.
Watu waliosoma na wenye pesa pia wanatamani kuwa na wake wengi ila sababu inayowafanya washindwe ni kukosa muda kutokana na ubize wa majukumu yao au biashara zao.
Lakini ikumbukwe hao wenye pesa wanapokuwa kwenye ziara zao za kikazi au safari zao za kibiashara pia huwa wanacheat hukohuko kimyakimya.
Wewe hujiulizo wale Madadapoa huwa wanafuata nini kule Dodoma Makao Makuu
Ni huzuniRais Nyerere - Mke mmoja
Rais Mwinyi - Zaidi ya Mke Mmoja
Rais Mkapa - Mke mmoja
Rais Kikwete - Mke mmoja + Wazazi wenza
Rais Magufuli - Mke mmoja + Wazazi wenza
Rais Samia - Mme mmoja + Mitala
Mafanikio hayategemei mke/mme mmoja au kutokuoa kabisa.
Yule orijino.Diamnond au yupi?
Huyo alikuwa kilaza tu. Alikuta dunia inatumia farasi na ameiacha dunia inatumia farasiKuna geneus kuliko seleman/solomon
Ni kweli unasemalo lakini kiukweli kuushinda huu mtihani ni ngumu mno!!!Sina uhakika na utafiti wako, ila ki ukweli kumiliki mwanamke zaidi ya mmoja ni chaos.
Itakulazimu upoteze muda mwingi sana kuwafurahisha (kuwapigia simu, kuwaridhisha kimapenzi, kuwashauri, kuhakikisha shida zao zinatatulika, kupiga nao story, at the same time kuhakikisha siri haivuji)
Hiyo ni kazi kubwa sana sana ambayo inaweza kukukosesha muda wa kufanya mambo ya msingi kukuongezea kipato chako
Kipimo cha akili na uwezo wa kifedha kwa Mwanaume ni namna anavyocontrol hisia zake za mapenzi.
1.Huu ni utafiti ? ili tuweze kujadili
2.au hisia zako mkuu? tukupe pM
HahahaHuyo alikuwa kilaza tu. Alikuta dunia inatumia farasi na ameiacha dunia inatumia farasi