Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Kwenye jambo lolote siwezi kubali nikuache nyumaπ₯°π₯°π₯°π₯° Nisaidie mwayego Kantry wa kwangu mimi peke yanguπ
Pure love! πππKwenye jambo lolote siwezi kubali nikuache nyuma
"Genesis 2:24 says that a man shall leave his father and his mother, and be joined to his wife and they shall become one flesh"
π€£π€£π€£π€£ Kwanza ulifichwa wapi?Shem kama shem!tena ni kuwafunga bila file kabisa wanaochezea laaziz wakoπ€£π€£π€£@lamomy kama nakuona unavyoturingia
She is the most incredible person I have ever met, I'd lie in court for herShem kama shem!tena ni kuwafunga bila file kabisa wanaochezea laaziz wakoπ€£π€£π€£@lamomy kama nakuona unavyoturingia
Oyooooo!! Wambea mmesikia?!Kwenye jambo lolote siwezi kubali nikuache nyuma
"Genesis 2:24 says that a man shall leave his father and his mother, and be joined to his wife and they shall become one flesh"
π€£π€£π€£π€£ Kwanza ulifichwa wapi?
Sijakuona kijiwe nongwa km siku 3 hivi,
Kantry akiniacha nitakufa dada!!! Mtanikosa ndugu yenu!! Haya mapenzi mwambieni apunguze naenda kuchanganyikiwa mie π€£
Huyo ni zaidi ya mtu, natamani ule uhalisia wake kwenye real life ndio angekua ana-apply na huku.Pure love! πππ
Hata waswahili husema "Kama unampenda utamlinda"Oyooooo!! Wambea mmesikia?!
Sisi mwili mmoja mtuache hata vitabu vya Mungu vinasema hivo π₯°π₯°π₯°
Na hapo ndio ugomvi wetu ulipo π€£π€£π€£Huyo ni zaidi ya mtu, natamani ule uhalisia wake kwenye real life ndio angekua ana-apply na huku.
She is a superwoman πͺ
Kantry wangu unanipenda sanaβa mwenyewe najua hilo, nimeona kuna sehemu umenimind kinoma naomba nisamehe πππHata waswahili husema "Kama unampenda utamlinda"
Huku Vichaa wengi,inabidi kwenda nao hivyo hivyo kiuchaa kichaaa....Wewe endelea kuinjoi na baby wako kwenye real life!Huyo ni zaidi ya mtu, natamani ule uhalisia wake kwenye real life ndio angekua ana-apply na huku.
She is a superwoman πͺ
Na Kantry hapendi ninavyojichetua humu wakati nje ananiona mtu tofauti kabisaaa!! π€£π€£π€£π€£Kwa hiyo huku unajizima dataπ€£π€£π€£π€£ wakati wewe ni super woman?
Nilifichwa Kizimkazi!π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Kwanza ulifichwa wapi?
Sijakuona kijiwe nongwa km siku 3 hivi,
Kantry akiniacha nitakufa dada!!! Mtanikosa ndugu yenu!! Haya mapenzi mwambieni apunguze naenda kuchanganyikiwa mie π€£
Wewe ndio unaniponzaga nikikausha utanitag mpk nikome πππHuku Vichaa wengi,inabidi kwenda nao hivyo hivyo kiuchaa kichaaa....Wewe endelea kuinjoi na baby wako kwenye real life!
Hamna,hiyo ndio akili....Mimi Kuna mjf nilonana nae Kwa masuala Fulani ya kijamii nikakaa nae akasema ur different kabisa na JFπ€£π€£π€£π€£Na Kantry hapendi ninavyojichetua humu wakati nje ananiona mtu tofauti kabisaaa!! π€£π€£π€£π€£
Kuna muda anatamani achume fimbo anicharaze
π€£π€£π€£π€£Kweli ukiuchunaa huwa unaniudhi sana halafu ulivyo mshenzy unalike tu naona yaani kasoma halafu hajinijibu,Sasa hapo naanza kukupa maneno ya karaha Hadi usemeeeeWewe ndio unaniponzaga nikikausha utanitag mpk nikome πππ
Mara uniambie kunguru hafuguki, utanichonoa mpk nikujibu ππ
Hata kuniita? Nikajua umetoka trip ya kupanda vilima vya choma πππNilifichwa Kizimkazi!π€£π€£π€£π€£
Angalia ukikaa kizembe nyakunyaku wanapita nae huyoπ€£π€£π€£maana si Kwa mahaba hayo unayopewa
ππNa hapo ndio ugomvi wetu ulipo π€£π€£π€£
Sasa bae na huku nikiishi uhalisia wangu sisy Joannah atashinda kanuna jomooni ππ
πππSasa mbona umejibia huku jf? Mpaka joannah ajueπππKantry wangu unanipenda sanaβa mwenyewe najua hilo, nimeona kuna sehemu umenimind kinoma naomba nisamehe πππ
Halafu njoo chemba tuyaongee
Yani mimi niko tofauti na huku, kwanza ukiniona unakataa!!! ππππHamna,hiyo ndio akili....Mimi Kuna mjf nilonana nae Kwa masuala Fulani ya kijamii nikakaa nae akasema ur different kabisa na JFπ€£π€£π€£π€£