Wanaume wenye tabia ya kuingilia maugomvi ya wanawake zenu kwa kuwasaidia "kusutana" mnakera

Wanaume wenye tabia ya kuingilia maugomvi ya wanawake zenu kwa kuwasaidia "kusutana" mnakera

Wapi hawajuani mkuu? wa mtaani mbona wanajuana kabisa. Ambao hawajuani labda wa mitandaoni.

Kwa mitandaoni kugombana na mtu ambaye haumjui zaidi ya kumwona mtandaoni ndio mbaya zaidi.
Daaah yani nitoke mishipa ya shingo kabisa kucharuana na mtu nisiyemjua, aisee bora nikakae zangu barabani nikaangalie madem wazuri wanavyokatiza mitaa na tight jeans zao zinawashika kuanzia juu mpaka chini au niwaone wale wanaovaa mini-skirts nione michirizi ya utamu nyuma ya magoti
 
Inawaumaga hiyo 🤣🤣🤣
Kuna siku waliniundia tume wakamleta mtu anitukane nimjibu wanireport! Yani humu kuna majinga mengi.
Na yule uliokuwa una amka da siku ile ndio michezo yake ni admin wa group Lao la mafichoni 🤣
Kheee, ni hapa hapa Jamhuri ya Jamii Forums au.!
 
Zitakuwa pm jukwaani ndo pa kutolea machungu 🤣🤣🤣
Wasubiri subiri maana hii wiki tuko bize ka weekend kamenoga haka ukifanya gigy, mara gekul, mara mdogo wake, kule manara pale amber lulu basi tafrani,
 
Mwanaume anajua kutongoza tu [emoji1787]

Ukikuta Kuna ugomvi wa mkewe yeye atamshika tu na kumkumbatia na kwenda naye nyumbani na kumtuliza tuli , anamuacha Kwa amani

Harafu anarudi Kwa yule walokuwa wakisutana watu wakiwa Sasa hawapo anamtongoza naye akizubaa mechi inachezwa huko ndiyo anaambiwa suta Sasa vile moyo upendavyo wakati kajamaa kanafukuta ndani ya kum...a

Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kingine ni kwamba wanaume wengi siku hizi ndo wanaongoza kwa umbea. Sijui ni kuchoka kuwa wanaume wanatamani wawe wanawake au ni nini.

Mwanaume kuwa mbea mbea pia haipendezi kabisa. Unakuta mwanaume na yeye hataki kupitwa na jambo. Ana maumbea kama yote na anaona ni sawa.
Hili ni gubu la kutofikishwa kileleni[emoji23][emoji23]
 
Za weekend?

Hivi mwanaume timamu kabisa mke wako kagombana huko na wanawake wenzake halafu wewe unaenda kuingilia ugomvi na kuanza kusutana na wanawake?

Kwanza mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kurushiana maneno na mtoto wa kike? Mpenzi wako akiudhiwa huko na marafiki zake wewe msaada unaoweza kumpatia ni kwenda na wewe kusutana?

Hapo ndio unaonesha Manhood yako? Ndio mkitoka hapo akuambie "safi sana mpenzi wangu umewasuta mpaka wamekoma"? Ndio sifa mnazoziona za maana siku hizi?

Leo nimepita mahali nikakuta kuna ugomvi wa watu wanatoleana maneno(kusutana). Mnaweza mkafikiri ni wanawake eh? HAPANA! ni mwanaume tena mume wa mtu kaenda kumsaidia mke wake kusutana na Bi dada mmoja ambaye anauza duka hapo.

Karibia kila mtu aliyekuwa anashuhudia lile alisikitika sana na kuona aibu kwa ile misuto mwanaume tena mume wa mtu aliyokuwa anaitoa.

Wanaume wenye hizi tabia badilikeni mnakera na kuaibisha sana. Tafuteni hela mpenzi wako akigombana huko mnaenda police na sio unaenda kumsaidia kusutana.

Acheni kujitoa uwanaume wenu kwa vitu vya ajabu. Wanawake kwa wanawake kugombana ni kawaida ila kisicho kawaida ni mwanaume kuingilia ugomvi na kusutana.

Mwanaume unayesutana na mwanamke au hata kutupia maneno wanaume wenzako unajishusha sana. Unadhalilisha nguvu ya manhood iliyowekwa ndani yako. Mwanaume pesa maneno maneno tuachieni sisi wanawake.
Bwege wa wapi huyo mwanaume!???Duuh nooooma.
 
🤣🤣🤣🤣 mbona mwenzio Saco hachagui
Lazima upime kwanza bana, Sasa wamevaa videra wanasutana na ww utaingia Kati kweli 😂😂😂

Ila nikiona unaporomoshewa matusi hata kama ni mwanamke sitavumilia nitatake action sio kumpiga bali kumuwajibisha kwa mkono wa sheria(defamation)

Kama ni mtandaoni kama humu na fake id basi nitapambana nae
 
Lazima upime kwanza bana, Sasa wamevaa videra wanasutana na ww utaingia Kati kweli 😂😂😂

Ila nikiona unaporomoshewa matusi hata kama ni mwanamke sitavumilia nitatake action sio kumpiga bali kumuwajibisha kwa mkono wa sheria(defamation)

Kama ni mtandaoni kama humu na fake id basi nitapambana nae
🥰🥰🥰🥰 Nisaidie mwayego Kantry wa kwangu mimi peke yangu😜
 
😂😂 mwanaume ana habari ambazo hata we huna!!
Ila ukiwa na mwanaume mbea au anakusaidia kusutana Raha nyie,kabla hamjalala mnakulana halafu mnakula ubuyuuuuuuu Hadi mnasinzia🤣🤣🤣
 
Lazima upime kwanza bana, Sasa wamevaa videra wanasutana na ww utaingia Kati kweli 😂😂😂

Ila nikiona unaporomoshewa matus kama ni mwanamke sitavumilia nitatake action sio kumpiga bali kumuwajibisha kwa mkono wa sheria(defamation)

Kama ni mtandaoni kama humu na fake id basi nitapambana nae
Shem kama shem!tena ni kuwafunga bila file kabisa wanaochezea laaziz wako🤣🤣🤣@lamomy kama nakuona unavyoturingia
 
Back
Top Bottom