Wanaume wenye watoto wa kike, utajisikiaje ama ulijisikiaje siku binti yako anaolewa?

Wanaume wenye watoto wa kike, utajisikiaje ama ulijisikiaje siku binti yako anaolewa?

nimequote hicho kipande
kukupa USIA
ili usimuumize mzee wako kihisia na aendelee kuwa na FURAHA juu ya wewe bintiye pindi utakapokua umeolewa
jitahidi saaaaana umpate MUME BORA mwenye hofu ya ubinadamu ndani yake na HEKIMA
ili awe baba bora kwa mwanao km wewe ulivyopata BABA BORA aliekulea vema
usifate nyingi nasaba angalia furaha ya moyo wako ambayo ni familia yako

nakuombea HERI nyingi katika hilo
Jèsus..!!.
Shukrani sana sana Mkuu na A huge Amen to that, umenigusa kipekee sana kiukweli..! Ninaomba hivyo sana pia, Mungu anipatie mtu sahihi, aliyetoka kwake..!!

Barikiwa mno..!!
 
Nitahitaji kujua kwanza historia yake, pia atakapokuja kwangu nitajaribu kumtathmini tabia zake kabla ya kumuoa binti yangu
Ni kweli kuwa watu hubadilika..?? Ama ni huwa wanaficha ukhalisia wao..!?
 
Hi guys,

Hope mpo sawa,

Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui!

Nilizoea kuona wamama ndiyo huwa wanalia zaidi, Kulia Baba kulinifanya nijiulize ni machozi ya furaha, au ni kawa tu emotional? Ama kuna kitu anafikiria kuhusu bintiye, sikupata jibu na sikuweza uliza yoyote ila kiukweli ile hali ilinifanya nijiskie vibaya,

Nikafikiria kuhusu yule mzee wangu, jinsi anavyonijali na kunipenda vile na yeye atajiskiaje siku akijua officially ndiyo naondoka mikononi mwake, atajiskia vibaya kwamba sasa binti yake unaenda chini ya uangalizi wa mwanaume mwingine tofauti na yeye.!? Or will he be proud of himself for raising Me well.??

Eti wanaume, utajiskiaje huyo bintiyo kwa jinsi unavyompenda hivyo, ikafika siku ndiyo anaenda officially kwenye usimamizi wa mwanaume mwingine tofauti na wewe?? Mwanaume usiyemjua tabia zake, hujui kama atampenda kweli na kumjali kama unavyofanya wewe, utakuwa na amani kweli?? Ama kwa wale tayari wako na experience ulijiskiaje siku ulipoozesha binti yako.!? am just being curious honestly..!
Hamna kipindi baba anakuwa na furaha kama mtoto wake wa kike akiolewa

NB Makaka ndio furaha mara 100 akiona dada yake ana olewa, kumuona dada yako au mwanao wa kike anagongwa hovyo hovyo roho inauma ila basi unakausha.
 
Hamna kipindi baba anakuwa na furaha kama mtoto wake wa kike akiolewa

NB Makaka ndio furaha mara 100 akiona dada yake ana olewa, kumuona dada yako au mwanao wa kike anagongwa hovyo hovyo roho inauma ila basi unakausha.
Oooow'..!
So now I know kumbe wakati mwingine ile ni furaha..!
 
Hi guys,

Hope mpo sawa,

Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui!
Kuozesha binti rasmi ni raha sana.
 
Hua ni machozi ya furaha anajivunia kua Baba bora hadi kuozesha,

Mie Baba yangu nakumbuka siku moja kabla ya ndoa tulikaa zaidi ya masaa matatu ananipa mawaidha ya ndoa na maisha, kubwa ninalokumbuka alisema "Mwanangu usivumilie unyanyasaji wa aina yoyote, ndoa ni furaha sio mateso, ushahidi mzuri umeuona kwa Mama yako"

Ile siku ilipofika alikua anafuraha hadi anatetemeka, wananiambia alikua anasimamia sekta zote kuhakikisha hakuna kinachoharibika, baada ya ndoa kufungwa alikuja nilipo na kunikumbatia kwa dakika nzima, Mama anasema alilia usiku, hakuamini mziwanda wake ndio ameondoka,

Miaka 8 imepita sijawahi kusahau.
 
Jimbo la kushukuru na ni fahari kuona mmekuza mpaka mkafikia binti yenu anaolewa, Ila kwa upande wa pili wa shilingi kwenye ndoa kuna mambo mengi sana kuna nyakati za raha na shida, msukosuko haitakosekana sasa wakaati mwingine ukiyakumbuka hayo unapaata simanzi kidogo maana huenda unamjua binti yako akiwa down vile anakuwa.

Siku moja niliwachapa Binti na kijana wangu, walikuwa wanabishana juu ya assignent waliopewa na Mama yao.

Na hili la kubisha limekuwa likijitokeza mara kwa mara nikawa nawafokea basi naachana nao, naona wakanichukulia poa.

Nilichukuwa usb cable nikawatandaka hasa walilia sana kwa uchungu sikupenda kusikikiza madai yao wakati huo.

Baadaye nilianza kuona wanaugulia uvimbe hasa huyu binti kwenye mkono wake baadaye akiwa analegwa na machizi alinifuata chumbani huku akilegwa na machozi aliniambia Dady sitarudia tena nisamehe, huku mkono wake umevimba kwa micharazo kweli nilitoa machozi mimi mwenyewe nikaanza kumkanda na barafu.

So wakati mwingie vile mlivyoishi na binti yenu kwa shida na raha akiolewa kuna some moments zinakuja unapaata emotional hii ninkawaida.
 
Hi guys,

Hope mpo sawa,

Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui!
Daaaah Carleen nasikitika tu umeamua kuolewa kimya kimya 😑
 
Hua ni machozi ya furaha anajivunia kua Baba bora hadi kuozesha,

Mie Baba yangu nakumbuka siku moja kabla ya ndoa tulikaa zaidi ya masaa matatu ananipa mawaidha ya ndoa na maisha, kubwa ninalokumbuka alisema "Mwanangu usivumilie unyanyasaji wa aina yoyote, ndoa ni furaha sio mateso, ushahidi mzuri umeuona kwa Mama yako"

Ile siku ilipofika alikua anafuraha hadi anatetemeka, wananiambia alikua anasimamia sekta zote kuhakikisha hakuna kinachoharibika, baada ya ndoa kufungwa alikuja nilipo na kunikumbatia kwa dakika nzima, Mama anasema alilia usiku, hakuamini mziwanda wake ndio ameondoka,

Miaka 8 imepita sijawahi kusahau.
Mpaka nimeskia raaaaqha..! Hongera sana Dream queen, miaka 8 siyo mchezo, natumaini unayafanyia kazi mawaidha ya Baba sivyo..?!
 
Jimbo la kushukuru na ni fahari kuona mmekuza mpaka mkafikia binti yenu anaolewa, Ila kwa upande wa pili wa shilingi kwenye ndoa kuna mambo mengi sana kuna nyakati za raha na shida, msukosuko haitakosekana sasa wakaati mwingine ukiyakumbuka hayo unapaata simanzi kidogo maana huenda unamjua binti yako akiwa down vile anakuwa.

Siku moja niliwachapa Binti na kijana wangu, walikuwa wanabishana juu ya assignent waliopewa na Mama yao.

Na hili la kubisha limekuwa likijitokeza mara kwa mara nikawa nawafokea basi naachana nao, naona wakanichukulia poa.

Nilichukuwa usb cable nikawatandaka hasa walilia sana kwa uchungu sikupenda kusikikiza madai yao wakati huo.

Baadaye nilianza kuona wanaugulia uvimbe hasa huyu binti kwenye mkono wake baadaye akiwa analegwa na machizi alinifuata chumbani huku akilegwa na machozi aliniambia Dady sitarudia tena nisamehe, huku mkono wake umevimba kwa micharazo kweli nilitoa machozi mimi mwenyewe nikaanza kumkanda na barafu.

So wakati mwingie vile mlivyoishi na binti yenu kwa shida na raha akiolewa kuna some moments zinakuja unapaata emotional hii ninkawaida.
Jamani,
Nimekaonea huruma, Endelea kuwa baba mwema kwake daima mkuu..!
 
Back
Top Bottom