Wanaume wenye watoto wa kike, utajisikiaje ama ulijisikiaje siku binti yako anaolewa?

Wanaume wenye watoto wa kike, utajisikiaje ama ulijisikiaje siku binti yako anaolewa?

Nahisi mimi wataniokota kwa kulia na kugaragara. Maana navuta picha ninavyowakunja watoto za watu kama kambare, halafu kamalaika kangu na kenyewe wakakafanyie hivyo hivyo.

On the real though, itauma kama mzazi kwa vile kwenye macho yako daima atakuwa ni binti yako mdogo. Ila ni baraka kubwa kwa dunia yetu ya leo kushuhudia ndoa ya binti yako. Wengi siku hizi kama hawajakuletea mimba nyumbani isiyokuwa na baba watakuletea mwanamke mwenzie anaemuita mume.

So machozi yatatoka kwa furaha na huzuni iliyo nzuri siku nitakayomuozesha binti yangu. Mungu anipe uhai wa kuja kuiona tu.
Hahahaha
 
Wanaume wahuni wahuni ndio huwa vichwa vinauma binti yao akiolewa au akiwa kwenye mahusiano
Wanadhani yale wanayowafanyia binti za watu ndio mtt wao anaenda kufanyiwa hivyo pia
 
Hi guys,

Hope mpo sawa,

Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui!

Nilizoea kuona wamama ndiyo huwa wanalia zaidi, Kulia Baba kulinifanya nijiulize ni machozi ya furaha, au ni kawa tu emotional? Ama kuna kitu anafikiria kuhusu bintiye, sikupata jibu na sikuweza uliza yoyote ila kiukweli ile hali ilinifanya nijiskie vibaya,

Nikafikiria kuhusu yule mzee wangu, jinsi anavyonijali na kunipenda vile na yeye atajiskiaje siku akijua officially ndiyo naondoka mikononi mwake, atajiskia vibaya kwamba sasa binti yake unaenda chini ya uangalizi wa mwanaume mwingine tofauti na yeye.!? Or will he be proud of himself for raising Me well.??

Eti wanaume, utajiskiaje huyo bintiyo kwa jinsi unavyompenda hivyo, ikafika siku ndiyo anaenda officially kwenye usimamizi wa mwanaume mwingine tofauti na wewe?? Mwanaume usiyemjua tabia zake, hujui kama atampenda kweli na kumjali kama unavyofanya wewe, utakuwa na amani kweli?? Ama kwa wale tayari wako na experience ulijiskiaje siku ulipoozesha binti yako.!? am just being curious honestly..!
Alimradi chumba chake kipo yakimshinda arudi tu
 
Kiukweli kama binti yangu amepevuka vyakutosha ikiwemo umri ,elimu na uwezo wa kiuchumi asimtegemee mwanaume.
Jibu ni YES nitafurah maana kuolewa sio kifo kwamba sitamuona milele na kuwa kuolewa ni stara kwa mwanamke. Ingawa inauma mazoea ndio tatizo ila kama ni mtu moja barid lazima nitumie siku iyo maana kumlea binti mpk mwanaume amuone anafaa kuolewa si kazi ndg
Hahaha daah akili zenu mwazijua wenyewe
 
Hi guys,

Hope mpo sawa,

Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui!

Nilizoea kuona wamama ndiyo huwa wanalia zaidi, Kulia Baba kulinifanya nijiulize ni machozi ya furaha, au ni kawa tu emotional? Ama kuna kitu anafikiria kuhusu bintiye, sikupata jibu na sikuweza uliza yoyote ila kiukweli ile hali ilinifanya nijiskie vibaya,

Nikafikiria kuhusu yule mzee wangu, jinsi anavyonijali na kunipenda vile na yeye atajiskiaje siku akijua officially ndiyo naondoka mikononi mwake, atajiskia vibaya kwamba sasa binti yake unaenda chini ya uangalizi wa mwanaume mwingine tofauti na yeye.!? Or will he be proud of himself for raising Me well.??

Eti wanaume, utajiskiaje huyo bintiyo kwa jinsi unavyompenda hivyo, ikafika siku ndiyo anaenda officially kwenye usimamizi wa mwanaume mwingine tofauti na wewe?? Mwanaume usiyemjua tabia zake, hujui kama atampenda kweli na kumjali kama unavyofanya wewe, utakuwa na amani kweli?? Ama kwa wale tayari wako na experience ulijiskiaje siku ulipoozesha binti yako.!? am just being curious honestly..!
Alimradi chumba chake kipo yakimshinda arudi tu
 
Samahani Patra, sifa kama zipi mfano.??
Siwez toka na wanawake zaid ya mmoja kwa wakati mmoja. Huwa nikipenda mtu ni had aniache ndio nijue kutafta mwingne.

Sipendi ugomvi na kubishana yan nipo tayar kukupa ushindi ili tu usinipigie kelele(hii sio kwamba kesi imeisha ipo siku nitakukumbusha ukiwa umetulia tuyamalize)

Ukimya. Hii ata yeye anayo(sio tabia nzuri mda mwingne) ila inaepusha mengi.

Uvumilivu.
Kupenda kujitenga. Kuna mda naona raha kukaa peke angu (ama na mtu mmoja ninae muelewa ata kama sina cha kumwambia ilimladi nimuone tu) kuliko kukaa na kwenye kundi la watu.
 
Ni furaha sana kwa mzazi kimuozesha mwanae,ni heshima pia unapata.
Ni wajibu pia kama asili ya dunia ilivyo kuoana.
Kama mimi vile nilivyo kabidhiwa binti wa watu kwa imani kubwa nami hakika nitakua na imani kubwa kwa atakae muoa binti yangu.
 
Hi guys,

Hope mpo sawa,

Nimefikiria hili jambo baada ya juzi kuwa kwenye shughuli flani ya send-off ya rafiki yangu, na kumuona baba yake mzazi akilia machozi yaani ile lia huku anajikaza na kuficha, wakati Mama yake alikuwa tu sawa usoni, ya moyoni siyajui!

Nilizoea kuona wamama ndiyo huwa wanalia zaidi, Kulia Baba kulinifanya nijiulize ni machozi ya furaha, au ni kawa tu emotional? Ama kuna kitu anafikiria kuhusu bintiye, sikupata jibu na sikuweza uliza yoyote ila kiukweli ile hali ilinifanya nijiskie vibaya,

Nikafikiria kuhusu yule mzee wangu, jinsi anavyonijali na kunipenda vile na yeye atajiskiaje siku akijua officially ndiyo naondoka mikononi mwake, atajiskia vibaya kwamba sasa binti yake unaenda chini ya uangalizi wa mwanaume mwingine tofauti na yeye.!? Or will he be proud of himself for raising Me well.??

Eti wanaume, utajiskiaje huyo bintiyo kwa jinsi unavyompenda hivyo, ikafika siku ndiyo anaenda officially kwenye usimamizi wa mwanaume mwingine tofauti na wewe?? Mwanaume usiyemjua tabia zake, hujui kama atampenda kweli na kumjali kama unavyofanya wewe, utakuwa na amani kweli?? Ama kwa wale tayari wako na experience ulijiskiaje siku ulipoozesha binti yako.!? am just being curious honestly..!
Nitaliaa maana najua anakwenda mikononi mwa watu MAKATILI.
 
Ni furaha sana kwa mzazi kimuozesha mwanae,ni heshima pia unapata.
Ni wajibu pia kama asili ya dunia ilivyo kuoana.
Kama mimi vile nilivyo kabidhiwa binti wa watu kwa imani kubwa nami hakika nitakua na imani kubwa kwa atakae muoa binti yangu.
Mungu akusaidie ukawe Baba mwema na mume mwema pia...!!
 
Siwez toka na wanawake zaid ya mmoja kwa wakati mmoja. Huwa nikipenda mtu ni had aniache ndio nijue kutafta mwingne.

Sipendi ugomvi na kubishana yan nipo tayar kukupa ushindi ili tu usinipigie kelele(hii sio kwamba kesi imeisha ipo siku nitakukumbusha ukiwa umetulia tuyamalize)

Ukimya. Hii ata yeye anayo(sio tabia nzuri mda mwingne) ila inaepusha mengi.

Uvumilivu.
Kupenda kujitenga. Kuna mda naona raha kukaa peke angu (ama na mtu mmoja ninae muelewa ata kama sina cha kumwambia ilimladi nimuone tu) kuliko kukaa na kwenye kundi la watu.
Una dalili za introvert, mie nachoshukuru tu ni hapo pa kuwa na mwanamke mmoja, ubarikiwe walaqhi'..!
 
Back
Top Bottom