kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
Duh nakuaga hii I'd ni mwanamkeKwa nature yetu hatuwezi braza, kuvumilia ni ngumu....
OkMzee kwani we huwa una jizuia vipi kuiba??, uki elewa Hilo kazi kwisha.
Aaah ushakuwa Me?Kwa nature yetu hatuwezi braza, kuvumilia ni ngumu....
NGUMU SANAJisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.
Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
Watapinga kuwa we si jinsi Me ila tuliosoma chini ya mbuyu siku nyingi sana huwa tunajua na yule mwengine jina lake linaishia "a".Kwa nature yetu hatuwezi braza, kuvumilia ni ngumu....
Huyu si mwanamke?Watapinga kuwa we si jinsi hiyo ila tuliosoma chini ya mbuyu siku nyingi sana huwa tunajua na yule mwengine jina lake linaishia "a".
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Acha uzembe kijana.Mwanaume kamili huwa hajielezi kihivyo.Yani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.
Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
Naona kajichanganya, siri imefichukaAaah ushakuwa Me?
Kwako wee!! Sio kwa wengine.NGUMU SANA
Unamtetea jamaa au sio, weshukuru haujamshika, ila tambua Kuna wenzakoKwako wee!! Sio kwa wengine.
Ni meDuh nakuaga hii I'd ni mwanamke
Ndio broAaah ushakuwa Me?
Hata km huyu wangu ana wengine pia na nikamshika, bado wako wanaume wanatulia na mwenzi m1.Unamtetea jamaa au sio, weshukuru haujamshika, ila tambua Kuna wenzako