Mbomozo
JF-Expert Member
- Dec 23, 2019
- 365
- 966
Tofauti na mke wangy mm siwez kumiliki mwanamke mwingine hapa i mean mchepuko but napiga one time nyingi sana ili niwe safe. Mwanaume wengi now days tunanunua Telegram na social media kibao kwa hasara ya kuivunja ndoa maake hawa viumbe huwa hawaelewi hata kidgo mara sms mara call night kali au mimba wakati anajua una mke. So ndivyo tulivyoumbwa wanaume ni hulka ya asili kutamani halafu baada ya tendo unakinai unaanza kujiuliza hivi ni mimi nimelala na huyu duuh acha 😶😶😶