Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
umechanganya ID, Huja logout ujue..!!!Kwa nature yetu hatuwezi braza, kuvumilia ni ngumu....
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umechanganya ID, Huja logout ujue..!!!Kwa nature yetu hatuwezi braza, kuvumilia ni ngumu....
Ndiyo maana umepigwa BAN, bure kabisaaaa!!!!Mzee kwani we huwa una jizuia vipi kuiba??, uki elewa Hilo kazi kwisha.
Ni kijigodoro kisimpe shida akamuona mkewe hafai.Hahahaha nyieee[emoji119][emoji1][emoji1][emoji1]
Labda awe na hofu na mungu sana tena sanaa au anaumwa. Bila hivyo ngumuJisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.
Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
Shetani ashindweee 😊😊😊😊!
Yess mama mchungaji.[emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Hilo ni lako wee, sio wanaume wote.Kujizuia haina maana umeridhika na hali ya kua na moja ila huna namna.maumbile ya kiumbe cha kiume nikumiliki mke zaidi ya moja
Wapooo!!Labda awe na hofu na mungu sana tena sanaa au anaumwa. Bila hivyo ngumu
Kumbe we ni mjinga ehh, 🤔Ndiyo maana umepigwa BAN, bure kabisaaaa!!!!
Piga bapa nzima muda wa kufikiria utakua huna ..... yani Wewe kila time ukiwa home unazima tuu!!!Yaani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.
Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
Jisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.
Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
KumbeJiulize kwa nini viumbe jike ni wengi kuliko viumbe dume? Maana yake hakuna dume linatosheka na jike moja ispokuwa ni umaskini tu na woga
Umeshajijibu mwenyewee.Kumaanisha kwamba ile ndo dem kajifungua kaenda kwao Miezi kadhaa karudi ukute alijifungua kwa operation bado mshono haujakaa sawa jamaa anamsubiri yey tu... Ukiona mhuni katulia na mwenza mmoja basi anakula nyeto sanna .... au anaumwa.... Pia ana uraibu wake wa kitu flan mf. Betting, Kusali, Ulevi n.k
Kweli kbsaWanaume waliumbwa kama wanyama wengine tu tunajitoa ufahamu na haya mambo aliyoleta mkoloni, habari ya mke mmoja sio mpango wa Mungu ni wa wazungu na dini zao na sisi tulikurupuka tu kujifanya tunaujua ukristo saaaana! Wanyama wote mbuzi, ng'ombe, nyani, sokwe, simba, nk, hawana jike moja maana halitoshi. Mwanaume analamba sasa hivi baada ya masaa matatu anataka tena wkt mke bado anajiuguza michubuko na game lililopita. Hata akipewa deile mara 10 bado akitoka nje ya nyumba akapita mwanamke tunatazama tako tu na kulitamani tena, kama mbuzi tu wandugu! Hii ni nature na maumbile ya wanyama wote hata kama haututaki! Mapovu ruksa.
Unawezaje kulinganisha wizi na uumbaji? Huna maana kabisa!Kumbe we ni mjinga ehh, 🤔