Wanaume wenzangu mnawezaje kujizuia na vishawishi nje ya mahusiano yenu?

Wanaume wenzangu mnawezaje kujizuia na vishawishi nje ya mahusiano yenu?

Jisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.

Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
Labda awe na hofu na mungu sana tena sanaa au anaumwa. Bila hivyo ngumu
 
Yaani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.

Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
Piga bapa nzima muda wa kufikiria utakua huna ..... yani Wewe kila time ukiwa home unazima tuu!!!
 
Jisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.

Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee

Kumaanisha kwamba ile ndo dem kajifungua kaenda kwao Miezi kadhaa karudi ukute alijifungua kwa operation bado mshono haujakaa sawa jamaa anamsubiri yey tu... Ukiona mhuni katulia na mwenza mmoja basi anakula nyeto sanna .... au anaumwa.... Pia ana uraibu wake wa kitu flan mf. Betting, Kusali, Ulevi n.k
 
Kumaanisha kwamba ile ndo dem kajifungua kaenda kwao Miezi kadhaa karudi ukute alijifungua kwa operation bado mshono haujakaa sawa jamaa anamsubiri yey tu... Ukiona mhuni katulia na mwenza mmoja basi anakula nyeto sanna .... au anaumwa.... Pia ana uraibu wake wa kitu flan mf. Betting, Kusali, Ulevi n.k
Umeshajijibu mwenyewee.
 
Wanaume waliumbwa kama wanyama wengine tu tunajitoa ufahamu na haya mambo aliyoleta mkoloni, habari ya mke mmoja sio mpango wa Mungu ni wa wazungu na dini zao na sisi tulikurupuka tu kujifanya tunaujua ukristo saaaana! Wanyama wote mbuzi, ng'ombe, nyani, sokwe, simba, nk, hawana jike moja maana halitoshi. Mwanaume analamba sasa hivi baada ya masaa matatu anataka tena wkt mke bado anajiuguza michubuko na game lililopita. Hata akipewa deile mara 10 bado akitoka nje ya nyumba akapita mwanamke tunatazama tako tu na kulitamani tena, kama mbuzi tu wandugu! Hii ni nature na maumbile ya wanyama wote hata kama haututaki! Mapovu ruksa.
Kweli kbsa
 
Back
Top Bottom