Wanaume wenzangu mnawezaje kujizuia na vishawishi nje ya mahusiano yenu?

Wanaume wenzangu mnawezaje kujizuia na vishawishi nje ya mahusiano yenu?

Yani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.

Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
acha tamaa bado kuna umwiki...
 
Jisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.

Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
Ukweli nikua mwanaume anayeridhika na mke moja hawahi kuumbwa.ukiona katulia ujue ima hana kitu au iman imemjaa.lakin pamoja na hayo kutaman ni lazma ataman wa nje.tofaut nikua unaweza kutaman lakin ukajizuia kufanya au kumtongoza
 
Ukweli nikua mwanaume anayeridhika na mke moja hawahi kuumbwa.ukiona katulia ujue ima hana kitu au iman imemjaa.lakin pamoja na hayo kutaman ni lazma ataman wa nje.tofaut nikua unaweza kutaman lakin ukajizuia kufanya au kumtongoza
Umeshajijibu mwenyewe!!
 
Yaani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.

Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
Huo ndio uanaume wala huna tatizo lolote mtukazi. Unachofikiria wewe ndio tulivyo wanaume wote tu
 
Yaani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.

Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
Kila kitu kinawezekana kujizuia mkuu, hiyo kusema hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja ni kujiendekeza tu. Over
 
Jisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.

Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
images (30) (1).jpeg
 
Back
Top Bottom