Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
πππChini ya mbuyu oyee in Jpm voice..Watapinga kuwa we si jinsi Me ila tuliosoma chini ya mbuyu siku nyingi sana huwa tunajua na yule mwengine jina lake linaishia "a".
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Si muda utataka uongeze mke.Ngoja tuone.π€£π€£Ndio bro
acha tamaa bado kuna umwiki...Yani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.
Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
Hana majukumu mazito huyo.Akibanwa sawasawa hata huyo wa ndani atamuita braza!Uyo unayemuwaza huko nje anakupa nini na huyo uliyenaye hapo anakunyima nini?
Ndio hvyoUnaweza kutulia na mwanamke mmoja ila kwa vigezo maana kawaida yetu tunaoa wanawake wa kawaida ambao ni wife material af nje tunachapa pisi kali
Sio kigodoro kitu ogIcho kigodoro cha mdada wa ofisini kisikuzuzue mkuu.
Ukweli nikua mwanaume anayeridhika na mke moja hawahi kuumbwa.ukiona katulia ujue ima hana kitu au iman imemjaa.lakin pamoja na hayo kutaman ni lazma ataman wa nje.tofaut nikua unaweza kutaman lakin ukajizuia kufanya au kumtongozaJisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.
Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
Umeshajijibu mwenyewe!!Ukweli nikua mwanaume anayeridhika na mke moja hawahi kuumbwa.ukiona katulia ujue ima hana kitu au iman imemjaa.lakin pamoja na hayo kutaman ni lazma ataman wa nje.tofaut nikua unaweza kutaman lakin ukajizuia kufanya au kumtongoza
Hapana bro sina mpango wa kuongeza mke, sheria ni ngumu kulala huku na kule hapana.....siwezi kumiliki mali halafu naiacha hukoo inalala peke ake, ikiruhisiwa kulala nao wote wawili hapo leo jioni naoa..... Mahitaji ni ubani kalmati na chai tuSi muda utataka uongeze mke.Ngoja tuone.π€£π€£
Atleast ww unatambua hiloJisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.
Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
Huo ndio uanaume wala huna tatizo lolote mtukazi. Unachofikiria wewe ndio tulivyo wanaume wote tuYaani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.
Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
Mwenyekiti wa Kikosi cha wahuniWasi kutishe mkuu, Raha ya bhangi changanya na Viagra
Kila kitu kinawezekana kujizuia mkuu, hiyo kusema hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja ni kujiendekeza tu. OverYaani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.
Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
jidanganyeJisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.
Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
Hata wanawake ni hivyo hivyo.....ndo maana tunailaani Ile siku iliyogunduliwa DNA test.Huo ndio uanaume wala huna tatizo lolote mtukazi. Unachofikiria wewe ndio tulivyo wanaume wote tu
Niambie ewe raisi wa kikosi Cha manyang'au π€πMwenyekiti wa Kikosi cha wahuni
Yess naelewa!!Atleast ww unatambua hilo
Jisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.
Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee