Weee kumbe chizi kabisa, mwenye mada kaelewa, we mbuzi ndo empty setUnawezaje kulinganisha wizi na uumbaji? Huna maana kabisa!
Ngumu mnoo mwenyekiti, nature haituruhusu kabisa.Kwa nature yetu hatuwezi braza, kuvumilia ni ngumu....
Eti mwenye mada, kwani mada ina mwenyewe? Bure kabisa!!Weee kumbe chizi kabisa, mwenye mada kaelewa, we mbuzi ndo empty set
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.
Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
Sawa binti USI rudie Tena
Mke mmoja hatoshi...Yaani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga kazini kwangu.
Mimi naamini kwenye hii Dunia hakuna mwanaume anaeweza kuwa na mwanamke mmoja tuu, hata awe wa ndoa, ngumu sana,kwanza haiwezekani.
Mkuu sio kweli .Jisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.
Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
Sio wote kweli lakin hao wazur hawazid asilimia tanoHilo ni lako wee, sio wanaume wote.
Ila wapoo??Sio wote kweli lakin hao wazur hawazid asilimia tano
Amejisahau, vidume wengi humu wanajitambulisha kwa majina ya kike. Kila siku tunasema humu "ukiwa muongo usiwe msahaulifu" hahaaWatapinga kuwa we si jinsi Me ila tuliosoma chini ya mbuyu siku nyingi sana huwa tunajua na yule mwengine jina lake linaishia "a".
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ila wap kwa uchache wao ningumu kuonekqna kua wapo
"Bad girl gone good..........."Ni me
Aisee,kwanza haiwezekani
Mbona kama naanza kusisimka nikiona reply zako. Mmmmmmhmn [emoji848]Jisemee wee, usiwasemee wengine. Wapo wanaume wanaotulia na mwenzi wake m1.
Huo umalaya ni tabia yako, sio kila mwanaume ana hulka hiyo.
Poleeee
Yesi hilo ndo la msingi.ila kutaman nikawaida na ndio maumbile yetu.kufanya nijambo lingine la maamuz yakoMwanaume kutamani ni kawaida ila katika maisha ishia kutamani kwa asilimia kubwa kuliko kuhitaji kuingia katika kila shimo kwanza ni laana na ni roho ya kimasikini.
Amini kwamba sio kila unachotamani lazima ukipate kwahiyo wanawake wengine ukitamani ishia kutamani tu basi.