Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Tuambie jinsia yako kwanza
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Hakikisha kila siku unapiga mechi.
Usijaribu nje hatari sana
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Hivi unavyosema unampanda kwani nyie ni mbuzi na hapo ndipo kosa linapoanza
 
Back
Top Bottom