Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

Wanawake wa ckuiz ujuaji mwingi kumshikisha mimba Ni shughuli pevu Sana.

Wengi wanatumia dawa mbali mbali Mara cjui p2 Mara cjui Nini, Yaani mataka taka mengi tu kwa lengo la kutokupata ujauzito.

Nakushauri mchukue mkeo muende mkamtafute Daktari wa kienyeji awape dozi ya dawa za kienyeji.Natumai hizo dawa zitamsaidia mkeo na bila Shaka ataukwaa ujauzito wako.Kila la heri.
Shukran sana boss umenena
 
Naongezea ukipata izo siku kama ni 28 gawa kwa 2 utapata 14 kwaiyo mwanamke wako atashika mimba siku ya 14 tangu uone tone la damu.Ila pia kuanzia siku ya 12,13 Atlanta pia maana yai la mwanaume linaishi masaa 72 pia siku ya 15,16 atapata pia mimba.
Pia kwa kuongezea akihitaji kuchagua jinsi ya mtoto, mtoto wa kike, basi afanye siku 2 kabla ya siku ya 14 kufika na hasifanye tena. Akitaka wakiume afanye karibu kila siku ya hizo siku za hatari au afanye siku ya 13, 14 na 15.
 
Screenshot_20230306-201825.jpg
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Mzunguko wa hedhi yake ni wa siku ngapi? Tuanzie hapo....!
 
Pia kwa kuongezea akihitaji kuchagua jinsi ya mtoto, mtoto wa kike, basi afanye siku 2 kabla ya siku ya 14 kufika na hasifanye tena. Akitaka wakiume afanye karibu kila siku ya hizo siku za hatari au afanye siku ya 13, 14 na 15.
Umenena boss
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
🤣🤣🤣🤣 Aiseh hyo picha uloweka yenyewe matatizo toa namba ya dem wako afundishwe na kaka angu fulani alaf atakuja akusimulie
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
06E1AA3A-6A77-4986-A888-887BB9ADC495.jpeg


Mayday! Mayday! over
 
Zingatia siku zake na sio lazima upige show daily vusha ata siku Tano siku ushushe kikombe Cha shahawa af kingine staili acha manjonjo muweke kifo Cha Mende ziingie zote.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Pole sana .
Nakupa mbinu ila wakija kusema mbona mimi sijapata mtoto wambie kupata ni majaliwa

Huyo mkeo au mtu wako muombe ujue ni lini anaingia kwenye siku zake .

Ukishajua kuwa anaingiaga lini basi mfuatilie kwa umakini mpaka siku atakayomaliza .

Siku atakayoingia kwenye siku zake hesabu kuanzia hiyo siku mpaka zifike siku kumi including na siku atakayomaliza baada ya hizo siku kumi utakuwa na siku nne kuu za hatari .

Yaani baada ya kuhesabu vizuri siku hizo kumi siku ya kumi na moja mpaka ya kumi na nne ni siku hatari za yeye kupata mimba .

Ila inategemea na yai la muhusika kwa siku za siku ya kumi na tano mpaka kumi na saba kupata mimba kwa baadhi ya wanawake .

Ila uhakika ni hizo siku nne , baada ya siku ya kumi na moja , mpande vizuri ipasavyo hizo siku alafu rudi kutoa mrejesho .

In case of jinsia ya mtoto ukitaka kupanga siku nyingine.

Yafanye hayo yote ukiwa unajua kuwa hakuna tatizo lolote kwako na yeye .

Uzao mwema.
 
Hakikisha hatumii dawa zozote za kuzia mimba,pia hakikisha mnafanya mapenzi siku zake za hatari,fuatiria mzunguko wake ujue,pia hakikisha kwenye siku za hatari una sex kwa kuruka siku moja moja,muweke staili ambayo shahawa zitaingia karibu na mlango wa mimba na baada ya sex ajitahidi asiende kunawa ndani ya nusu saa.

Usipanie sana relax jitahidi kula vyakula vyenye protini kwa wingi na matunda bila kusahau maji ya kutosha,pia hakikisha mwezio amepata ule ute wa mimba hua unafanana kama ule ute mweupe wa kwenye yai la kuku.
 
Back
Top Bottom