Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

We gonga kila siku itanasa tu me sikukata tamaa pamoja Na kusemwa k vant nazokunywa sana zimeniathiri


Niligonga kwa bidii hatimaye shemeji yako kaanza kutapika now Mimi ni baba kijacho miezi mitatu
Umetombewa mkuu
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Mimba c hadi aamue mwenyewe kupata mkuu.. Kama hataki mimba utaisikia kwa jirani..
Ishu io ni mkae mjadiliane muamue kulea.. ☺
 
H
Mkuu jambo la kwanza fahamu mzunguko wake wa hedhi una siku ngapi (unaweza kumuuliza). Kikawaida wanawake wengi ni siku 28, ukishapata jibu mfano shemeji ni siku 28. Anza kuhesabu siku ya kwanza anaingia hedhi, ikifika siku ya 11 mpaka 18 hizo ni siku zake za hatari (za kushika mimba) hivyo loweka kila siku au kwa kupumzika siku moja moja.

UTAKUJA KUNISHUKURU BAADAE.
Adi aamue.. Kama anajua mzunguko wake vizuri na hataki kuzaa hatozaa mkuu😂😂
 
Jibu swali langu mwanaume anaembaka mwanamke anakua katika hali ya ustaarabu?
Anaweza kuwa awe mstaarabu au asiwe,, as long as unamfosi bila yy kupenda unakuwa umebaka😂😂
 
Pole sana .
Nakupa mbinu ila wakija kusema mbona mimi sijapata mtoto wambie kupata ni majaliwa

Huyo mkeo au mtu wako muombe ujue ni lini anaingia kwenye siku zake .

Ukishajua kuwa anaingiaga lini basi mfuatilie kwa umakini mpaka siku atakayomaliza .

Siku atakayoingia kwenye siku zake hesabu kuanzia hiyo siku mpaka zifike siku kumi including na siku atakayomaliza baada ya hizo siku kumi utakuwa na siku nne kuu za hatari .

Yaani baada ya kuhesabu vizuri siku hizo kumi siku ya kumi na moja mpaka ya kumi na nne ni siku hatari za yeye kupata mimba .

Ila inategemea na yai la muhusika kwa siku za siku ya kumi na tano mpaka kumi na saba kupata mimba kwa baadhi ya wanawake .

Ila uhakika ni hizo siku nne , baada ya siku ya kumi na moja , mpande vizuri ipasavyo hizo siku alafu rudi kutoa mrejesho .

In case of jinsia ya mtoto ukitaka kupanga siku nyingine.

Yafanye hayo yote ukiwa unajua kuwa hakuna tatizo lolote kwako na yeye .

Uzao mwema.
Shukran sana boss
 
Hakikisha hatumii dawa zozote za kuzia mimba,pia hakikisha mnafanya mapenzi siku zake za hatari,fuatiria mzunguko wake ujue,pia hakikisha kwenye siku za hatari una sex kwa kuruka siku moja moja,muweke staili ambayo shahawa zitaingia karibu na mlango wa mimba na baada ya sex ajitahidi asiende kunawa ndani ya nusu saa.

Usipanie sana relax jitahidi kula vyakula vyenye protini kwa wingi na matunda bila kusahau maji ya kutosha,pia hakikisha mwezio amepata ule ute wa mimba hua unafanana kama ule ute mweupe wa kwenye yai la kuku.
Shukran sana boss
 
Hivi mtu anaebaka na kusababisha mimba anakua amefanya mapenzi kistaarabu?
hapana mkuu,,mtoa mada anatatizo la kupata mtoto na mkewe,hao wanaobakwa na kuzaa hawana matatizo ya kutokuzaa hivyo hua kama ajali tu
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
nana_ njoo utoe ushauri.😅😅😅
 
Back
Top Bottom