Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

Mkuu jambo la kwanza fahamu mzunguko wake wa hedhi una siku ngapi (unaweza kumuuliza). Kikawaida wanawake wengi ni siku 28, ukishapata jibu mfano shemeji ni siku 28. Anza kuhesabu siku ya kwanza anaingia hedhi, ikifika siku ya 11 mpaka 18 hizo ni siku zake za hatari (za kushika mimba) hivyo loweka kila siku au kwa kupumzika siku moja moja.

UTAKUJA KUNISHUKURU BAADAE.
 
Mkuu jambo la kwanza fahamu mzunguko wake wa hedhi una siku ngapi (unaweza kumuuliza). Kikawaida wanawake wengi ni siku 28, ukishapata jibu mfano shemeji ni siku 28. Anza kuhesabu siku ya kwanza anaingia hedhi, ikifika siku ya 11 mpaka 18 hizo ni siku zake za hatari (za kushika mimba) hivyo loweka kila siku au kwa kumpumzika siku moja moja.

UTAKUJA KUNISHUKURU BAADAE.
Shukran sana boss wangu Bless nyingi kwako🙏
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.

Shida ni hii lugha yako, unampanda kawa punda? Hemu tumia lugha nzuri uone kama hatopata uja uzito
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Unampanda amekuwa jike la ng'ombe?hapo ndipo unapokosea ,rekebisha Hilo then mambo yatatik
 
Download App inaitwa FLO, hiyo App itawasaidia kutrack period, fertilisation hadi Ovulation, wanawake wengi hua hawajui mizunguko yao,
Ushauri wa kusex kila siku ni muhimu sana kikubwa mjue mzunguko wake tu.
Screenshot_20230306-200700_Google%20Play%20Store.jpg
 
Mkuu jambo la kwanza fahamu mzunguko wake wa hedhi una siku ngapi (unaweza kumuuliza). Kikawaida wanawake wengi ni siku 28, ukishapata jibu mfano shemeji ni siku 28. Anza kuhesabu siku ya kwanza anaingia hedhi, ikifika siku ya 11 mpaka 18 hizo ni siku zake za hatari (za kushika mimba) hivyo loweka kila siku au kwa kupumzika siku moja moja.

UTAKUJA KUNISHUKURU BAADAE.
Naongezea ukipata izo siku kama ni 28 gawa kwa 2 utapata 14 kwaiyo mwanamke wako atashika mimba siku ya 14 tangu uone tone la damu.Ila pia kuanzia siku ya 12,13 Atlanta pia maana yai la mwanaume linaishi masaa 72 pia siku ya 15,16 atapata pia mimba.
 
Soma pia kwenye mitandao unakwama wapi mbona kila kitu kipo wazi au ww ukishika simu unajua tu kuingia jf
 
Wanawake wa ckuiz ujuaji mwingi kumshikisha mimba Ni shughuli pevu Sana.

Wengi wanatumia dawa mbali mbali Mara cjui p2 Mara cjui Nini, Yaani mataka taka mengi tu kwa lengo la kutokupata ujauzito.

Nakushauri mchukue mkeo muende mkamtafute Daktari wa kienyeji awape dozi ya dawa za kienyeji.Natumai hizo dawa zitamsaidia mkeo na bila Shaka ataukwaa ujauzito wako.Kila la heri.
 
Back
Top Bottom