Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Mambo yapi? Kupeana mimba au binadam kumpanda binadam mwenzake? π π π πππ mie bado mdogo kwa hayo mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yapi? Kupeana mimba au binadam kumpanda binadam mwenzake? π π π πππ mie bado mdogo kwa hayo mambo
Both ππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈMambo yapi? Kupeana mimba au binadam kumpanda binadam mwenzake? π π π π
Basi kale. Mida ya wakubwa hii π π πBoth ππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈ
ππππ Usiku mwemaBasi kale. Mida ya wakubwa hii π π π
Na kwako pia π πππππ Usiku mwema
Basi huyo kama hana shida na wewe upo okay....kuanzia siku ya 11- 18 tangu alipoona hedhi ni hatari kwake....but siku halisi ya ujauzito ni 14+15.... Kula vizuri hasa hasa juice ya tangawizi+ swaumu+ kitunguu maji +{asali, karoti, tikiti na ndizi( optional kwa ajili ya kuweka ladha nzuri,)} brend na unywe pasipo kutupa kitu kwa siku hizo 13..... Kuanzia day 1 mpaka day 13 usimguse, tumieni hiyo juice inarekebisha homoni zenu na kuboost sperm...punguza wanga , usiupe mwili kazi ngumu zaidi ya kawaida....then siku ya 14+15 Siku hizi hakikisha amelala chali hata uweke mito kiunoni ili ajiinue uke ukae katika shape ya kukombe.( Kama alivyoshauli ndugu _Flames )..shahawa isitoke nje! Pambana muijaze dunia!Siku 28 boss
Basi huyo kama hana shida na wewe upo okay....kuanzia siku ya 11- 18 tangu alipoona hedhi ni hatari kwake....but siku halisi ya ujauzito ni 14+15.... Kula vizuri hasa hasa juice ya tangawizi+ swaumu+ kitunguu maji +{asali, karoti, tikiti na ndizi( optional kwa ajili ya kuweka ladha nzuri,)} brend na unywe pasipo kutupa kitu kwa siku hizo 13..... Kuanzia day 1 mpaka day 13 usimguse, tumieni hiyo juice inarekebisha homoni zenu na kuboost sperm...punguza wanga , usiupe mwili kazi ngumu zaidi ya kawaida....then siku ya 14+15 Siku hizi hakikisha amelala chali hata uweke mito kiunoni ili ajiinue uke ukae katika shape ya kukombe.( Kama alivyoshauli ndugu _Flames )..shahawa isitoke nje! Pambana muijaze dunia!
Mwombe Mungu sana, huenda anakuchelewesha kwakuwa akikupa utamfanya mtoto wako kuwa Mungu na kusahau huyu aliye juu ana wivu sana.Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.
Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.
Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Asali na kufunga,pole! nenda kafanye sperm analysis au PM me
Unajua shingo ya kizazi ikiguswa maumivu yake?Hesabu Toka period imeanza then mfanye siku ya kumi na nne na alale Chali pia uzamishe mashine yote ndani.Mtapata mtoto wa kiume.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]acha kumpanda kama nguruwe,
fanya nae mapenzi kistarabu
TrueLeo ndiyo nimekubali kwamba wanaume tumepungua.
Ila wanawake hturidhiki, tukifanywa kistaarabu kuna wengine wanafanya kwa fujo, mijasho tunawafurahia, ,kama ukimpa house boy, aisee : Ushauri wangu kaka wewe sali tu, Mungu atajibu.
[emoji23][emoji23][emoji1787]Hivi unavyosema unampanda kwani nyie ni mbuzi na hapo ndipo kosa linapoanza