Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

Mambo yapi? Kupeana mimba au binadam kumpanda binadam mwenzake? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Both πŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
 
Both πŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
Basi kale. Mida ya wakubwa hii πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Watoto wa 2009 tayari washa andika Uzi wao
 
Hakikisha yupo danger zone, Kunja miguu yake kiasi uone mabega yake yamepita katikati ya miguu yake alafu ipigie pushapu piga mishindo utaona kabisa anavyoipokea mimba kwa kuifinyia kwa ndani.... usisikilize kilio ukamuachia miguu chake hadi uhakikishe umekitupa.... isiposhika ndugu yangu nendeni hospitali kuna shida mahali.
 
Siku 28 boss
Basi huyo kama hana shida na wewe upo okay....kuanzia siku ya 11- 18 tangu alipoona hedhi ni hatari kwake....but siku halisi ya ujauzito ni 14+15.... Kula vizuri hasa hasa juice ya tangawizi+ swaumu+ kitunguu maji +{asali, karoti, tikiti na ndizi( optional kwa ajili ya kuweka ladha nzuri,)} brend na unywe pasipo kutupa kitu kwa siku hizo 13..... Kuanzia day 1 mpaka day 13 usimguse, tumieni hiyo juice inarekebisha homoni zenu na kuboost sperm...punguza wanga , usiupe mwili kazi ngumu zaidi ya kawaida....then siku ya 14+15 Siku hizi hakikisha amelala chali hata uweke mito kiunoni ili ajiinue uke ukae katika shape ya kukombe.( Kama alivyoshauli ndugu _Flames )..shahawa isitoke nje! Pambana muijaze dunia!
 
Basi huyo kama hana shida na wewe upo okay....kuanzia siku ya 11- 18 tangu alipoona hedhi ni hatari kwake....but siku halisi ya ujauzito ni 14+15.... Kula vizuri hasa hasa juice ya tangawizi+ swaumu+ kitunguu maji +{asali, karoti, tikiti na ndizi( optional kwa ajili ya kuweka ladha nzuri,)} brend na unywe pasipo kutupa kitu kwa siku hizo 13..... Kuanzia day 1 mpaka day 13 usimguse, tumieni hiyo juice inarekebisha homoni zenu na kuboost sperm...punguza wanga , usiupe mwili kazi ngumu zaidi ya kawaida....then siku ya 14+15 Siku hizi hakikisha amelala chali hata uweke mito kiunoni ili ajiinue uke ukae katika shape ya kukombe.( Kama alivyoshauli ndugu _Flames )..shahawa isitoke nje! Pambana muijaze dunia!

Duuh,huo mchanganyiko ni hatari.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.

Nawaza labda naeza kwenda kujaribu kwa mwanamke mwingine kisha inase na sipo tayari kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya huyu.

Kama kuna utundu mwingine ambao unafanyika wakati wa kumpa mwanamke mimba basi nijuzeni wakulungwa.
Mwombe Mungu sana, huenda anakuchelewesha kwakuwa akikupa utamfanya mtoto wako kuwa Mungu na kusahau huyu aliye juu ana wivu sana.
 
Hesabu Toka period imeanza then mfanye siku ya kumi na nne na alale Chali pia uzamishe mashine yote ndani.Mtapata mtoto wa kiume.
Unajua shingo ya kizazi ikiguswa maumivu yake?
Hee, yaani inauma hebu usimshauri vibaya mke wa mtu aumizwe, lakini pia wanaume wengi sasa hivi hamna mitarimbo ya kugusa kizazi na ndio maana mnauziwa madawa feki na wamasai wa chalinze wakiwadanganya mnarefusha mtarimbo kumbe hamna itu.
 
vipi shemeji amesha anza kutema tema mate au mzee unatoa wazungu wepesi hawana nguvu za kuswim wana ishia getini

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Ehhh, wanume amkeniamkeni kuna mwamba uku ajui kupiga goli njoen msaidie
 
Kuna dem wangu miaka ya nyuma nilikaa nae miaka miwili kila wiki nalala nae mara 2 kavu kavu na hakuwai kushika mimba.

yeye alikua hataki kuzaa kipindi hicho lkn tulikuwa tunafanya kavu kavu lkn hashiki mimba nikasemaga labda tasa huyu[emoji23]

sasa alipotaka kuzaa akaniambia sasa nipo tayari, akaniambia njia aliyokuwa anatumia alichukua kitambaa akakitumia kama ped kwenye siku zake kisha akafunga fundo kile kitambaa kikiwa na dam ya hedhi bila kukifua alafu akakihifadhi chumban kwake alikua anakaa kwao.

Nikambishia ww ni Muongo akasema hata yeye aliambiwa na shangazi yake hiyo ni njia ya asili kutopata mimba na ukitaka sasa uzae unabidi ufungue lile fundo la kile kitambaa alafu ukichome moto na sasa amefanya hivo yupo tayari.

Tukapima mimba kwanza maana nilihisi ni mtego, tulifanya mara 2 tu baada ya mwezi akaanza kuniambia ana mimba na tukapima ni kweli na mpaka leo mama mtoto wangu.

Wanawake wana mambo mengi.
 
Back
Top Bottom