Wanaume wenzangu nifundisheni jinsi ya kumpa mwanamke mimba

Mwambie aiminyie kwa ndani
Sio tu kuiminya kwa ndani yaweza kuwa ipo shida ya mfumo wa uzazi kwa mmoja kati yenu,yaweza Kuwa baba au mama .Ni vyema kutafuta ushauri wa kitabibu kama kweli mmedhamiria Kuwa na familia na bado kubahatika .Ikumbukwe wakati mwingine mmoja aweza Kuwa hahitaji Kuwa na majukumu ya familia bila kumshirikisha mwenzake,sio lazima ikawa hivyo ila pia yaweza Kuwa hamna ukaribu,na hivyo mmekuwa mkikutana muda usio sahihi wa kuweza kupata familia mpya 🤔
 
Je kwa wale wa siku 25
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…