Wanaume wenzangu! Tupeane mautundu ya kukwepa Mizinga....


Na wasiwasi na akupendae milembe kunamwita,..
 
Huna hadhi ya kuitwa mwanaume.,.bado ni mvulana mwanaume halalamiki hashindwi na kitu sasa wewe mwanaume wa wapi)
 
Dear Espy.
Sio kwamba uliyoandika hatuyajui.Tunayajua Na wkt mwingine tunasaidia kutoa mawazo.Wala hatupo huko. imagine.Mwanamke ana kipato kidogo kulinganisha Na mwenzake.Sawa wote tunamahitaji.Na kama ulivyokubali wanapaswa kusaidia.Ukiona mwanadada ana omba Elfu 30 ya kusukia Nywele anazokaa nazo mwezi kichwani.Huko kumchuna Kuna tokea wapi.Mimi ninawajua Watu.Ana mpenzi bingwa wa kuweka Heshima Bar Lakini anaishiwa Hata pesa ya kununua luku.Na mpaka MTU unamuomba Tayari Unamjua mwenzako kipato chake.Hivi unaweza kumwomba Maiti Damu??Halafu ilivyo wadada wengi Wakipata kipato Ni wazuri wa kutoa.Hawaji kulalamika.Ila kwa kuwa Hata Biblia imeandikwa Mwanamke Ni Pambo. Sisi kulalamika Ni Sawa.Wasikwepe majukumu madogomadogo hasa Yale yaliyo ndani ya uwezo wao.
 
Huna hadhi ya kuitwa mwanaume.,.bado ni mvulana mwanaume halalamiki hashindwi na kitu sasa wewe mwanaume wa wapi)
Na mwanamke wa kweli anashindwa kila kitu, kazi yake kuomba omba tu,, ama umemaanisha vingine? Una ndoto ya gari ila ili ndoto yako itimie lazima nikununulie mimi,, maana yake unanihitaji zaidi!! Sijui nani amewaloga!!
 
Aaah hiyo hata mimi siiungi mkono. Ninayoongelea ni ile ya tit for tat bila huruma.
 
Nilishatoa taadhari mapema! siwezi kutoa huduma kwa MTU anaekaa kwao au kwake kisa mchumba; tutasema na kupanga mengine yote lakini mdada kutumia zaidi ya mimi mtafutaji ni big noooo. Ageuze mgongo

Wadada tafuteni Pesa; utamu wa mapenzi tunaenjoy wote muache kua kupe
 
Very simple tu ukiona tu ana anza kukwita baby sijui I love you cjui nikwambie kitu cjui nataka nije kwako kuna kitu nataka tuongee hapo kaa macho weka mbali na watoto
kwi kwi kwi kwi...hahahahahaha...hii imenikuta sana...yaani unaona kimondo kinakuja
 

Na wenyewe wanaumiaga mnapowasokeza magegedeo yenu ya size ya mkono wa bashite hivo wanataka angalau chochote cha kuwapoza
 
Kumhudumia mwanamke uliye naye ni jukumu lako. Lakini mwanamke lazima she comes thru and chips in. Sio 50/50 lakini kuna mambo mtoto wa kike akamilishe mwenyewe. Mwanamke anayekupenda kwa dhati hakuombi ombi hela hovyo kwa kuwa anajua unatimiza mahitaji yake kama mwanaume hata kama unachompatia ni kidogo. Wanawake wastaarabu na wenye upendo ni very understanding. Ila wanawake wasio wastaarabu kupiga mizinga ni kama dose, kutwa mara tatu. Aidha, hawa dizaini hii huwa hawajatulia. Kiu yake ya kutaka pesa kirahisi huwalazimu kupanua miguu kwa wanaume si chini ya watatu ili kukidhi shauku na matamanio ya pesa yanayotawala akili yake. A do or die woman leo mtaenda kula naye high end restaurant kesho mtaenda naye kula mihogo coco. Hawana noma. Wasichokijua dada zetu ni kuwa kupiga mizinga inakata stimu sana. Hata kama mwanaume alikuwa ana mipango na wewe lazima atakupotezea.
 
No mzinga no mbunye..heh unataka tuchakae lazima tujirepee hizo vagina zisishrink mapema
 
Ukiona mwanamke hakuhurumii wala kukuelewa ujue hauko moyoni mwake..
bora umwambie ukweli huna aamue kubaki au aende...

Mwanamke akikupenda kweli ataogopa kukupoteza
sio wewe uogope kumpoteza kisa humpi hela kila siku
Bro samahani unaongelea wanawake wa kwenye tamthilia au hawa wa kibongo?
 
Dawa nzuri ya kuepuka mizinga kama wewe ni mbahili bora utafute sugar mumy otherwise uwe tayari kula vibovu,
 
we MPE hela tafuna halafu sepa.kama atakupenda atakung'an'gania sasa hapo usimpe pesa yako tena we endelea kumuumiza yani ukitafuna umeshinda mchezo mzima na asipokupenda basi tafuta windo lengine la kulilipotezea muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…