Wanaume wenzangu! Tupeane mautundu ya kukwepa Mizinga....

Mi nahisi kama nina bahati mbaya mkuu kila ninaye =mgusa ndo hivyohivyo...yaani malengo yao ni pesa tu hawaangalii mbele ina maana ni peke yangu Tu!
Mkuu hauko peke yako trust me
Hawa viumbe wako kimaslahi zaidi
 
Tatizo haujaowa lazima uwe buzi uliza walioowa unafikiri wanahaha kama wewe acheni uzinifu vijana mtaishia kupanga tu mwisho mnakufa na Ukimwi
 
Sasa ninyi mnataka nini? Tuwape bure, maana hamueleweki kabisa, bila pesa hupati kitu labda uende kijijini
 
hahahahah nimefurahi sana
 
na sikukuu hiyo inakuja ngoja upigwe kizinga laki tano kwa ajili ya maandalizi na mavazi
 
hahahahahahahahahahah jana nimepigwa kizinga nimekipangua mpaka mhusika akacheka nilimwambia hapana sijui kesho inaenda kuwaje acha tu zibaki nazipenda pia
 
Very simple tu ukiona tu ana anza kukwita baby sijui I love you cjui nikwambie kitu cjui nataka nije kwako kuna kitu nataka tuongee hapo kaa macho weka mbali na watoto
Anza kuishi kisungura. Ukizubaa tu keshaomba laki 3. Hapo kukwepa inakuwa too late
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…