Wanavyofanya Musukuma na Polepole ni ushahidi wa ukomavu wa Rais Samia kisiasa

Ongeza bidii ya post zako, infact SAHAU, labda za kabari

2024 tutaona kama Mungu akituweka hai, hawa wanaodharilika Leo nawaza wanaweza kuja pigiwa magoti wawasamehe watu
 
Hahahaha yote uliyotaja 1-6,hakuna linalogusa moja kwa moja wapiga kura ambao ndo huamua Nani apite.

Hizi ni hoja za ujuajijuaji wa JF.

Kama chanjo siyo issue mbona Watanzania wameigomea?
Kama wamachinga siyo issue subiri 2025.
Bahati mbaya tu hakuna watu smart upande mwingine lakini kwa huu mwendo ndio awepo Dr. Slaa, asubuhi mapema
 
Kwa Mungu sio kwa mganga.
 
Na kama unaweza mshauri mama basi mwambie aishi hivyo, kama ni urais -tayari ameshaupata.
Na kingine alifanyie kazi suala la kujenga taasisi imara.
 
Bahati mbaya tu hakuna watu smart upande mwingine lakini kwa huu mwendo ndio awepo Dr. Slaa, asubuhi mapema
Yaani sema waliopona kweli ndo hao tena.wanasubiri CCM imeguke wapate mgombea.
 
Ongeza bidii ya post zako, infact SAHAU, labda za kabari

2024 tutaona kama Mungu akituweka hai, hawa wanaodharilika Leo nawaza wanaweza kuja pigiwa magoti wawasamehe watu
Hivi kwa akili zako timamu, ni watanzania wangapi wenye afadhali ya maisha miaka 60 ya uhuru? mbona watu wanachaguliwa tu miaka yote? Hebu kwenda zako huko, msimtishe mama.

Watanzania hawakuwa na maji, umeme, elimu bora, mishahara mikubwa, hospital, nyumba bora, pembejeo za kilimo, na hata masoko ya bidhaa zao za makondeni. Mbona hiyena hiyena ni kila mwaka? Msimtishe mama hata kidogo, hata yeye sio mgeni nchi hii.
 
Samia ataangukia pua Wala asihangaikie urais. Makundi yafuatayo yatamkwamisha...
1. Wasiopenda tozo. Hapa ni watanzania wote.
2. Wasiopenda ukandamizaji.
Haya ni maneno tu mkuu.

Yamekuwepo miaka na miaka
 
Hahahaha yote uliyotaja 1-6,hakuna linalogusa moja kwa moja wapiga kura ambao ndo huamua Nani apite.

Hizi ni hoja za ujuajijuaji wa JF.

Kama chanjo siyo issue mbona Watanzania wameigomea?
Kama wamachinga siyo issue subiri 2025.
Juzi nilipanda bodaboda kwa umbali mrefu nikawa nazungumza na muendesha bodaboda. Aiseee watu wanamsapoti sana mama

Usiskie ya kuambiwa
 
Watu wasiojua mambo wanadhani mtu unaweza tu kuwa Rais wa nchi.

Wanadanganyana eti ni haki yako kuchagua na kuchaguliwa.
 
Walipinga chanjoweeeeee lakini mwishowe nadhani na wawo walichanja kimyakimya.
Mkuu wapo watatu wanaomkwamisha Rais, ongezea na Mzee Gwajiboy . Yes inasemekana wamechanja kimya kimya tena ile Johnson and Johnson vaccine wakaiwahi kabla haijaisha sababu yenyewe unachanja mara moja tu.
 
Juzi nilipanda bodaboda kwa umbali mrefu nikawa nazungumza na muendesha bodaboda. Aiseee watu wanamsapoti sana mama

Usiskie ya kuambiwa
Labda kwenye nchi ya kusadikika ambako,Bei ya sabuni,mafuta ya kula,mabando,bati,simenti zimeshuka Bei.
Bila kusahau machinga ambao wamegeuka mtaji wa kusaka vyeo zaidi.

Tofauti na hapo nafikiri ulibebwa na jini lililojigeuza bodaboda.
 
Hivi ulikuwepo wakati wa kodi ya kichwa mkuu? Au kodi ya kipande cha baiskeli? Tozo ya miamala ni njia nzuri ya kumfanyia kila mmoja alipe kodi bila kutumia njia za kibabe kama za kodi ya kichwa na kodi ya kipande. Watanzania hamjazoea civilization.
Watanzania ni watu wagumu sana kuwaongoza.

Hivi ninavyokwambia nipo nchi flan hapa hapa Africa najionea namna watu wanavyochajiwa kodi huku.

Jana tulikwenda kubadili fedha za kigeni tupate fedha za hapa na tukajifunza zaidi na zaidi why rais Magufuli aliamua bureau de change azipige pini.

Watanzania wengi hawana exposure na hawajui mambo yanavyoendeshwa.

Tanzania ni nchi Bora kabisa na nafuu kuishi
 
Chanjo 1m, Watanzania 60m,zimegoma kuisha mpaka zimeshaexpire tu,imebidi walete za mchina nazo doro tu.
Hiii ndo TZ ya JPM,ukijitenga naye utaangukia pua.
Wajinga wa marehemu bwana kafa katuachia Wafuasi wake wajinga
 
Bahati mbaya tu hakuna watu smart upande mwingine lakini kwa huu mwendo ndio awepo Dr. Slaa, asubuhi mapema
Kwa kuwa Dr. Slaa ni mtu smart, aliona na kujiridhisha kwamba njia pekee ya kuipeleka Tanzania mbele ni kupitia utawala wa Chama cha mapinduzi (CCM).

Yes chama kina changamoto zake lakini for the next 10p years to come, CCM is the only and best party to take this country further economically, socially and Politically.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…