Wanavyofanya Musukuma na Polepole ni ushahidi wa ukomavu wa Rais Samia kisiasa

Wanavyofanya Musukuma na Polepole ni ushahidi wa ukomavu wa Rais Samia kisiasa

Polepole na Musukuma ni watu wanaopingana na Rais Mama Samia kwenye kila kitu. Wanabweka kwenye mitandao kupinga maamuzi ya Rais.

Walipinga chanjoweeeeee lakini mwishowe nadhani na wawo walichanja kimyakimya.

Sasa hivi wanapinga uwamuzi wa mama Samia wa kuisafisha miji, eti miji isisafishwe eti kuwatetea wavamizi na wachafuzi wa maeneo wasiondolewe mitaani.

Kwenye awamu ya Tano hawakuwa hivyo hata kidogo, kule barabara ya ubungo kimara maelelfu ya watu wakiwemo wamachinga waliondolewa kinyama kabisa kupisha upanuzi wa barabara tena walivunjia hata kule ambako barabara haitafika lakini Polepole na Musukuma hawakunyanyua midomo Yao hata millimeter moja kupinga na kutetea.

Leo hii eti miji isisafishwe ili watembea kwa miguu wawatunze wamachinga kwa kuwaachia njia zao za kukwepea magari kuepuka ajali. Kwa akili za Polepole na Musukuma wamachinga Wana haki kuliko watanzania waliozibiwa njia zao za kutembelea na kuchafuliwa mazingira yao.

Hizi ni Chuki za wazi ambazo ni kiongozi mkomavu TU ndiye anaeweza kuzivumilia.

Wamachinga ni sehemu ya jamii yetu, hawako pale kwa msingi ya dini, kabila Wala mkoa. Ni WA dini zote, makabila yote na kutoka mikoa yote ya bara na visiwani, hakuna mwenye Chuki nao binafsi, lakini huwezi kuchukua haki za watanzania wengine ukawapa wamachinga eti kwakuwa wanatafuta riziki. Lazima tuanzie pahala katika kutatua kero za makundi yote bila upendeleo.

Polepole na Musukuma hawatoi njia mbadala ya kuhakikisha usalama wa watembea kwa miguu, mitaro iliyozibwa, vibanda vya wamachinga wanamokimbilia vibaka kukwepa kukamatwa wanapowaibia watanzania wenzao au maji yanaotuama na kufurika nyakati za mvua kwa njia za maji kuzibwa.

Hizi ni siasa uchwara kabisa, Maana haki yako lazima ikomee pale inapoanza haki ya mwenzio. Kwanini haki ya mmachinga isikomee pale haki ya mtembea kwa miguu inapoanzia?

Heshima ni kujiheshimu, Mama Samia kaletwa na Mungu kwetu hakupiga kampeni ya kuwa Rais, kila mtu analifahamu hilo, tumheshimu, wacha atengeneze pale wenzake waliposhindwa. Mama Samia ni mwanamke, na tabia ya akinamama ni usafi, Wacha asafishe maana hakuna sheria yoyote anayokiuka kwa kuwaondoa, huwezi kuendesha nchi kwakutumia moyo badala ya akili/ubongo.

Rais Samia atapigiwa kura za kishindo na wale watanzania ambao:
1. Wanaopenda utaratibu kwenye kila jambo.
2. Wanaopenda uhuru wa kutoa mawazo bila kubugudhiwa.
3. Wanaoamini kwenye haki za binadamu bila kujali jinsia yake.
4 wanaopenda usafi na miji safi
5. Unaopenda utawala wa sheria.
6. Wanaopenda kuona mihili yote inafanyakazi kazi zake bila kuingiliwa.
Mkuu CCM iina demokrasia ya kutosha. Ingekuwa ni huko kwa wachaga tena unaepinga siyo mchana cha moto ungekiona.
 
Polepole na Musukuma ni watu wanaopingana na Rais Mama Samia kwenye kila kitu. Wanabweka kwenye mitandao kupinga maamuzi ya Rais.

Walipinga chanjoweeeeee lakini mwishowe nadhani na wawo walichanja kimyakimya.

Sasa hivi wanapinga uwamuzi wa mama Samia wa kuisafisha miji, eti miji isisafishwe eti kuwatetea wavamizi na wachafuzi wa maeneo wasiondolewe mitaani.

Kwenye awamu ya Tano hawakuwa hivyo hata kidogo, kule barabara ya ubungo kimara maelelfu ya watu wakiwemo wamachinga waliondolewa kinyama kabisa kupisha upanuzi wa barabara tena walivunjia hata kule ambako barabara haitafika lakini Polepole na Musukuma hawakunyanyua midomo Yao hata millimeter moja kupinga na kutetea.

Leo hii eti miji isisafishwe ili watembea kwa miguu wawatunze wamachinga kwa kuwaachia njia zao za kukwepea magari kuepuka ajali. Kwa akili za Polepole na Musukuma wamachinga Wana haki kuliko watanzania waliozibiwa njia zao za kutembelea na kuchafuliwa mazingira yao.

Hizi ni Chuki za wazi ambazo ni kiongozi mkomavu TU ndiye anaeweza kuzivumilia.

Wamachinga ni sehemu ya jamii yetu, hawako pale kwa msingi ya dini, kabila Wala mkoa. Ni WA dini zote, makabila yote na kutoka mikoa yote ya bara na visiwani, hakuna mwenye Chuki nao binafsi, lakini huwezi kuchukua haki za watanzania wengine ukawapa wamachinga eti kwakuwa wanatafuta riziki. Lazima tuanzie pahala katika kutatua kero za makundi yote bila upendeleo.

Polepole na Musukuma hawatoi njia mbadala ya kuhakikisha usalama wa watembea kwa miguu, mitaro iliyozibwa, vibanda vya wamachinga wanamokimbilia vibaka kukwepa kukamatwa wanapowaibia watanzania wenzao au maji yanaotuama na kufurika nyakati za mvua kwa njia za maji kuzibwa.

Hizi ni siasa uchwara kabisa, Maana haki yako lazima ikomee pale inapoanza haki ya mwenzio. Kwanini haki ya mmachinga isikomee pale haki ya mtembea kwa miguu inapoanzia?

Heshima ni kujiheshimu, Mama Samia kaletwa na Mungu kwetu hakupiga kampeni ya kuwa Rais, kila mtu analifahamu hilo, tumheshimu, wacha atengeneze pale wenzake waliposhindwa. Mama Samia ni mwanamke, na tabia ya akinamama ni usafi, Wacha asafishe maana hakuna sheria yoyote anayokiuka kwa kuwaondoa, huwezi kuendesha nchi kwakutumia moyo badala ya akili/ubongo.

Rais Samia atapigiwa kura za kishindo na wale watanzania ambao:
1. Wanaopenda utaratibu kwenye kila jambo.
2. Wanaopenda uhuru wa kutoa mawazo bila kubugudhiwa.
3. Wanaoamini kwenye haki za binadamu bila kujali jinsia yake.
4 wanaopenda usafi na miji safi
5. Unaopenda utawala wa sheria.
6. Wanaopenda kuona mihili yote inafanyakazi kazi zake bila kuingiliwa.
Siku tukifanya mambo yetu bila hila za uchaguzi kwenye bongo zetu, tutaanza kupiga hatua
Saa hizi tupo pale pale tunapiga mguu sawa ,mguu pande
 
Polepole na Musukuma ni watu wanaopingana na Rais Mama Samia kwenye kila kitu. Wanabweka kwenye mitandao kupinga maamuzi ya Rais.

Walipinga chanjoweeeeee lakini mwishowe nadhani na wawo walichanja kimyakimya.

Sasa hivi wanapinga uwamuzi wa mama Samia wa kuisafisha miji, eti miji isisafishwe eti kuwatetea wavamizi na wachafuzi wa maeneo wasiondolewe mitaani.

Kwenye awamu ya Tano hawakuwa hivyo hata kidogo, kule barabara ya ubungo kimara maelelfu ya watu wakiwemo wamachinga waliondolewa kinyama kabisa kupisha upanuzi wa barabara tena walivunjia hata kule ambako barabara haitafika lakini Polepole na Musukuma hawakunyanyua midomo Yao hata millimeter moja kupinga na kutetea.

Leo hii eti miji isisafishwe ili watembea kwa miguu wawatunze wamachinga kwa kuwaachia njia zao za kukwepea magari kuepuka ajali. Kwa akili za Polepole na Musukuma wamachinga Wana haki kuliko watanzania waliozibiwa njia zao za kutembelea na kuchafuliwa mazingira yao.

Hizi ni Chuki za wazi ambazo ni kiongozi mkomavu TU ndiye anaeweza kuzivumilia.

Wamachinga ni sehemu ya jamii yetu, hawako pale kwa msingi ya dini, kabila Wala mkoa. Ni WA dini zote, makabila yote na kutoka mikoa yote ya bara na visiwani, hakuna mwenye Chuki nao binafsi, lakini huwezi kuchukua haki za watanzania wengine ukawapa wamachinga eti kwakuwa wanatafuta riziki. Lazima tuanzie pahala katika kutatua kero za makundi yote bila upendeleo.

Polepole na Musukuma hawatoi njia mbadala ya kuhakikisha usalama wa watembea kwa miguu, mitaro iliyozibwa, vibanda vya wamachinga wanamokimbilia vibaka kukwepa kukamatwa wanapowaibia watanzania wenzao au maji yanaotuama na kufurika nyakati za mvua kwa njia za maji kuzibwa.

Hizi ni siasa uchwara kabisa, Maana haki yako lazima ikomee pale inapoanza haki ya mwenzio. Kwanini haki ya mmachinga isikomee pale haki ya mtembea kwa miguu inapoanzia?

Heshima ni kujiheshimu, Mama Samia kaletwa na Mungu kwetu hakupiga kampeni ya kuwa Rais, kila mtu analifahamu hilo, tumheshimu, wacha atengeneze pale wenzake waliposhindwa. Mama Samia ni mwanamke, na tabia ya akinamama ni usafi, Wacha asafishe maana hakuna sheria yoyote anayokiuka kwa kuwaondoa, huwezi kuendesha nchi kwakutumia moyo badala ya akili/ubongo.

Rais Samia atapigiwa kura za kishindo na wale watanzania ambao:
1. Wanaopenda utaratibu kwenye kila jambo.
2. Wanaopenda uhuru wa kutoa mawazo bila kubugudhiwa.
3. Wanaoamini kwenye haki za binadamu bila kujali jinsia yake.
4 wanaopenda usafi na miji safi
5. Unaopenda utawala wa sheria.
6. Wanaopenda kuona mihili yote inafanyakazi kazi zake bila kuingiliwa.
Tunaomba hao vijana washughulikiwe Ova
 
Chanjo 1m, Watanzania 60m,zimegoma kuisha mpaka zimeshaexpire tu,imebidi walete za mchina nazo doro tu.
Hiii ndo TZ ya JPM,ukijitenga naye utaangukia pua.
Endelea kujidanganya, J&J zilishaisha zamani sanaa
 
Polepole na Musukuma ni watu wanaopingana na Rais Mama Samia kwenye kila kitu. Wanabweka kwenye mitandao kupinga maamuzi ya Rais.

Walipinga chanjoweeeeee lakini mwishowe nadhani na wawo walichanja kimyakimya.

Sasa hivi wanapinga uwamuzi wa mama Samia wa kuisafisha miji, eti miji isisafishwe eti kuwatetea wavamizi na wachafuzi wa maeneo wasiondolewe mitaani.

Kwenye awamu ya Tano hawakuwa hivyo hata kidogo, kule barabara ya ubungo kimara maelelfu ya watu wakiwemo wamachinga waliondolewa kinyama kabisa kupisha upanuzi wa barabara tena walivunjia hata kule ambako barabara haitafika lakini Polepole na Musukuma hawakunyanyua midomo Yao hata millimeter moja kupinga na kutetea.

Leo hii eti miji isisafishwe ili watembea kwa miguu wawatunze wamachinga kwa kuwaachia njia zao za kukwepea magari kuepuka ajali. Kwa akili za Polepole na Musukuma wamachinga Wana haki kuliko watanzania waliozibiwa njia zao za kutembelea na kuchafuliwa mazingira yao.

Hizi ni Chuki za wazi ambazo ni kiongozi mkomavu TU ndiye anaeweza kuzivumilia.

Wamachinga ni sehemu ya jamii yetu, hawako pale kwa msingi ya dini, kabila Wala mkoa. Ni WA dini zote, makabila yote na kutoka mikoa yote ya bara na visiwani, hakuna mwenye Chuki nao binafsi, lakini huwezi kuchukua haki za watanzania wengine ukawapa wamachinga eti kwakuwa wanatafuta riziki. Lazima tuanzie pahala katika kutatua kero za makundi yote bila upendeleo.

Polepole na Musukuma hawatoi njia mbadala ya kuhakikisha usalama wa watembea kwa miguu, mitaro iliyozibwa, vibanda vya wamachinga wanamokimbilia vibaka kukwepa kukamatwa wanapowaibia watanzania wenzao au maji yanaotuama na kufurika nyakati za mvua kwa njia za maji kuzibwa.

Hizi ni siasa uchwara kabisa, Maana haki yako lazima ikomee pale inapoanza haki ya mwenzio. Kwanini haki ya mmachinga isikomee pale haki ya mtembea kwa miguu inapoanzia?

Heshima ni kujiheshimu, Mama Samia kaletwa na Mungu kwetu hakupiga kampeni ya kuwa Rais, kila mtu analifahamu hilo, tumheshimu, wacha atengeneze pale wenzake waliposhindwa. Mama Samia ni mwanamke, na tabia ya akinamama ni usafi, Wacha asafishe maana hakuna sheria yoyote anayokiuka kwa kuwaondoa, huwezi kuendesha nchi kwakutumia moyo badala ya akili/ubongo.

Rais Samia atapigiwa kura za kishindo na wale watanzania ambao:
1. Wanaopenda utaratibu kwenye kila jambo.
2. Wanaopenda uhuru wa kutoa mawazo bila kubugudhiwa.
3. Wanaoamini kwenye haki za binadamu bila kujali jinsia yake.
4 wanaopenda usafi na miji safi
5. Unaopenda utawala wa sheria.
6. Wanaopenda kuona mihili yote inafanyakazi kazi zake bila kuingiliwa.
[emoji123][emoji123][emoji106][emoji106]
 
Polepole na Msukuma wake zaidi ya makelele na propaganda za kujijenga wao binafsi kwa maslahi yao hawana uchungu na Tanzania au watanzania.
Zaidi ya yote hao ni vikaragosi watiifu wa ccm
Polepole na Musukuma ni watu wanaopingana na Rais Mama Samia kwenye kila kitu. Wanabweka kwenye mitandao kupinga maamuzi ya Rais.

Walipinga chanjoweeeeee lakini mwishowe nadhani na wawo walichanja kimyakimya.

Sasa hivi wanapinga uwamuzi wa mama Samia wa kuisafisha miji, eti miji isisafishwe eti kuwatetea wavamizi na wachafuzi wa maeneo wasiondolewe mitaani.

Kwenye awamu ya Tano hawakuwa hivyo hata kidogo, kule barabara ya ubungo kimara maelelfu ya watu wakiwemo wamachinga waliondolewa kinyama kabisa kupisha upanuzi wa barabara tena walivunjia hata kule ambako barabara haitafika lakini Polepole na Musukuma hawakunyanyua midomo Yao hata millimeter moja kupinga na kutetea.

Leo hii eti miji isisafishwe ili watembea kwa miguu wawatunze wamachinga kwa kuwaachia njia zao za kukwepea magari kuepuka ajali. Kwa akili za Polepole na Musukuma wamachinga Wana haki kuliko watanzania waliozibiwa njia zao za kutembelea na kuchafuliwa mazingira yao.

Hizi ni Chuki za wazi ambazo ni kiongozi mkomavu TU ndiye anaeweza kuzivumilia.

Wamachinga ni sehemu ya jamii yetu, hawako pale kwa msingi ya dini, kabila Wala mkoa. Ni WA dini zote, makabila yote na kutoka mikoa yote ya bara na visiwani, hakuna mwenye Chuki nao binafsi, lakini huwezi kuchukua haki za watanzania wengine ukawapa wamachinga eti kwakuwa wanatafuta riziki. Lazima tuanzie pahala katika kutatua kero za makundi yote bila upendeleo.

Polepole na Musukuma hawatoi njia mbadala ya kuhakikisha usalama wa watembea kwa miguu, mitaro iliyozibwa, vibanda vya wamachinga wanamokimbilia vibaka kukwepa kukamatwa wanapowaibia watanzania wenzao au maji yanaotuama na kufurika nyakati za mvua kwa njia za maji kuzibwa.

Hizi ni siasa uchwara kabisa, Maana haki yako lazima ikomee pale inapoanza haki ya mwenzio. Kwanini haki ya mmachinga isikomee pale haki ya mtembea kwa miguu inapoanzia?

Heshima ni kujiheshimu, Mama Samia kaletwa na Mungu kwetu hakupiga kampeni ya kuwa Rais, kila mtu analifahamu hilo, tumheshimu, wacha atengeneze pale wenzake waliposhindwa. Mama Samia ni mwanamke, na tabia ya akinamama ni usafi, Wacha asafishe maana hakuna sheria yoyote anayokiuka kwa kuwaondoa, huwezi kuendesha nchi kwakutumia moyo badala ya akili/ubongo.

Rais Samia atapigiwa kura za kishindo na wale watanzania ambao:
1. Wanaopenda utaratibu kwenye kila jambo.
2. Wanaopenda uhuru wa kutoa mawazo bila kubugudhiwa.
3. Wanaoamini kwenye haki za binadamu bila kujali jinsia yake.
4 wanaopenda usafi na miji safi
5. Unaopenda utawala wa sheria.
6. Wanaopenda kuona mihili yote inafanyakazi kazi zake bila kuingiliwa.
 
Watu wasiojua mambo wanadhani mtu unaweza tu kuwa Rais wa nchi.

Wanadanganyana eti ni haki yako kuchagua na kuchaguliwa.
Uhodari uko kwenye kupanga safi yako ndani na nje ya chama. Kwa katiba yetu hii kushindwa ni ujinga wako.
 
Mkuu wapo watatu wanaomkwamisha Rais, ongezea na Mzee Gwajiboy . Yes inasemekana wamechanja kimya kimya tena ile Johnson and Johnson vaccine wakaiwahi kabla haijaisha sababu yenyewe unachanja mara moja tu.
Bila kuchanja utakwendaje kuhubiri nje ya Nchi na unasema una wafuasi wa ufufuo na uzima Dunia nzima? Wajinga ndio waliwao.
 
Labda kwenye nchi ya kusadikika ambako,Bei ya sabuni,mafuta ya kula,mabando,bati,simenti zimeshuka Bei.
Bila kusahau machinga ambao wamegeuka mtaji wa kusaka vyeo zaidi.

Tofauti na hapo nafikiri ulibebwa na jini lililojigeuza bodaboda.
Bei zimepanda dunia nzima kwasababu ya covid-19. Usidanganywe na mtu, Tanzania sio kisiwa. Bei ya mafuta ya petroleum imepanda duniani kote. Hivi hata kupanda kwa bei za bidhaa nayo unambebesha Samia? Shame upon you.

Mtashindana lakini hamtashinda, Katiba yetu hii ni turufu kwa kila kitu.
 
Bei zimepanda dunia nzima kwasababu ya covid-19. Usidanganywe na mtu, Tanzania sio kisiwa. Bei ya mafuta ya petroleum imepanda duniani kote. Hivi hata kupanda kwa bei za bidhaa nayo unambebesha Samia? Shame upon you.

Mtashindana lakini hamtashinda, Katiba yetu hii ni turufu kwa kila kitu.
Vitu vyote vinapanda ila mahindi na korosho havipandi.
mbolea ime-double bei nayo imepanda kwenye soko la dunia?
 
Watanzania ni watu wagumu sana kuwaongoza.

Hivi ninavyokwambia nipo nchi flan hapa hapa Africa najionea namna watu wanavyochajiwa kodi huku.

Jana tulikwenda kubadili fedha za kigeni tupate fedha za hapa na tukajifunza zaidi na zaidi why rais Magufuli aliamua bureau de change azipige pini.

Watanzania wengi hawana exposure na hawajui mambo yanavyoendeshwa.

Tanzania ni nchi Bora kabisa na nafuu kuishi
Kuna wakati niliwahi kulazimika kuishi Marekani, nilitamani kurudi Tanzania haraka. Hakuna mtu mwenye akili timamu atakaependa kuishi Marekani kuliko Tanzania. Walioishi Marekani wataniunga mkono. Wengi wanapenda waende kule kwa muda TU kwa jambo maalumu Kisha waondoke warudi. Kuna wakati pia nilikaa Nairobi kwa miezi kadhaa, nilitamani nirudi haraka dsm.
 
Vitu vyote vinapanda ila mahindi na korosho havipandi.
mbolea ime-double bei nayo imepanda kwenye soko la dunia?
Hebu tuambie, mbolea inatengenezwa kwa kutumia nini? Je, mbolea inatengenezwa kwa material gani yanayotoka waapi?
 
Bei zimepanda dunia nzima kwasababu ya covid-19. Usidanganywe na mtu, Tanzania sio kisiwa. Bei ya mafuta ya petroleum imepanda duniani kote. Hivi hata kupanda kwa bei za bidhaa nayo unambebesha Samia? Shame upon you.

Mtashindana lakini hamtashinda, Katiba yetu hii ni turufu kwa kila kitu.
Ndo uwezo wako wa ufahamu umeishia hapo?
Kwani Corona imeingia mwaka huu?
Au hujui nchi iliingia uchumi wa Kati wakati Corona ikiwa imepamba Moto dunia ikiwa imejifungia kwa mwaka mzima?
Au tozo la luku ni Bei ya umeme kupanda duniani?🤣🤣🤣🤣
 
.Hebu tuambie, mbolea inatengenezwa kwa kutumia nini? Je, mbolea inatengenezwa kwa material gani yanayotoka waapi?
Kwa hiyo corona imekula hayo material au unamaanisha nin?
Mafuta ya petrol watu wa tunduma wanayoyafuata zambia yenyewe wameyachimba wao?
Kubalini mama kuwa amefeli japo mnalipwa mteteeni ili msikose ajira zenu.
 
Polepole na Musukuma ni watu wanaopingana na Rais Mama Samia kwenye kila kitu. Wanabweka kwenye mitandao kupinga maamuzi ya Rais.

Walipinga chanjoweeeeee lakini mwishowe nadhani na wawo walichanja kimyakimya.

Sasa hivi wanapinga uwamuzi wa mama Samia wa kuisafisha miji, eti miji isisafishwe eti kuwatetea wavamizi na wachafuzi wa maeneo wasiondolewe mitaani.

Kwenye awamu ya Tano hawakuwa hivyo hata kidogo, kule barabara ya ubungo kimara maelelfu ya watu wakiwemo wamachinga waliondolewa kinyama kabisa kupisha upanuzi wa barabara tena walivunjia hata kule ambako barabara haitafika lakini Polepole na Musukuma hawakunyanyua midomo Yao hata millimeter moja kupinga na kutetea.

Leo hii eti miji isisafishwe ili watembea kwa miguu wawatunze wamachinga kwa kuwaachia njia zao za kukwepea magari kuepuka ajali. Kwa akili za Polepole na Musukuma wamachinga Wana haki kuliko watanzania waliozibiwa njia zao za kutembelea na kuchafuliwa mazingira yao.

Hizi ni Chuki za wazi ambazo ni kiongozi mkomavu TU ndiye anaeweza kuzivumilia.

Wamachinga ni sehemu ya jamii yetu, hawako pale kwa msingi ya dini, kabila Wala mkoa. Ni WA dini zote, makabila yote na kutoka mikoa yote ya bara na visiwani, hakuna mwenye Chuki nao binafsi, lakini huwezi kuchukua haki za watanzania wengine ukawapa wamachinga eti kwakuwa wanatafuta riziki. Lazima tuanzie pahala katika kutatua kero za makundi yote bila upendeleo.

Polepole na Musukuma hawatoi njia mbadala ya kuhakikisha usalama wa watembea kwa miguu, mitaro iliyozibwa, vibanda vya wamachinga wanamokimbilia vibaka kukwepa kukamatwa wanapowaibia watanzania wenzao au maji yanaotuama na kufurika nyakati za mvua kwa njia za maji kuzibwa.

Hizi ni siasa uchwara kabisa, Maana haki yako lazima ikomee pale inapoanza haki ya mwenzio. Kwanini haki ya mmachinga isikomee pale haki ya mtembea kwa miguu inapoanzia?

Heshima ni kujiheshimu, Mama Samia kaletwa na Mungu kwetu hakupiga kampeni ya kuwa Rais, kila mtu analifahamu hilo, tumheshimu, wacha atengeneze pale wenzake waliposhindwa. Mama Samia ni mwanamke, na tabia ya akinamama ni usafi, Wacha asafishe maana hakuna sheria yoyote anayokiuka kwa kuwaondoa, huwezi kuendesha nchi kwakutumia moyo badala ya akili/ubongo.

Rais Samia atapigiwa kura za kishindo na wale watanzania ambao:
1. Wanaopenda utaratibu kwenye kila jambo.
2. Wanaopenda uhuru wa kutoa mawazo bila kubugudhiwa.
3. Wanaoamini kwenye haki za binadamu bila kujali jinsia yake.
4 wanaopenda usafi na miji safi
5. Unaopenda utawala wa sheria.
6. Wanaopenda kuona mihili yote inafanyakazi kazi zake bila kuingiliwa.

"Polepole na Musukuma ni watu wanaopingana na Rais Mama Samia kwenye kila kitu."

😁😁

"Walipinga chanjo weeeeee lakini mwishowe nadhani na wawo walichanja kimyakimya."

😁😁

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom