kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #81
Si tumezioata na sie lakini? Nchi zote zilishapata isipokuwa sisi tu kwa uzembe wetu, kwanini? Na sisi tumezioata sasa kazi iendelee, kule Zanzibar zimeenda 400bil kuchachamua uchumi na Bara zipo teele.Wewe kavulana kweli kwahiyo unavyomuona Hangaya na libarakoa kubwa ni kwa sababu Kuna Corona ya kutisha Tanzania?
Wenzio walikuwa wanawinda
1.3trilion