Nafikiri wanachukua sperm za waume zao halafu wanaziingiza kwa wenza waoTayari ipo mkuu, wengi km siyo baadhi wanapandikizwa na kuoigwa wembe kisa hawataki kukutana na nyie pia kuoata uchungu as they called usumbufu.
Tatizo baba mtoto ndiye hafahamiki so akikua na kuja kugundua I'ven't Dad sijui inakuwaje 🥲!
Unaweza kuwasaidia wote,kwa mfano mwanaume anaweza kushindwa kusababisha nimba kwa sababu ya uchache wa manii.hii njia inamfaaHii inshu ya IVF, huwa ni msaada kwa yupi... Ni mwanaume ndiyo hana uwezo wa kutia mimba? ama ni mwanamke ndiyo hana uwezo wa kunasa mimba?
-Kaveli-
Mikoa ya baridi watu huwa ndio wanakuwa na moto balaa na kuweza kupata watoto kwa haraka kuliko mikoa ya joto.Nini kimefanya wenyewe washindwe kupandikiza na Arusha ni baridi? Au nao wameambukizwa udhaifu toka Namanga na Taveta
Kwan shida ipo wapi?! Wao wapate watoto walee wenyewe nani anataka kuhangaika na watu wenye kiburi. Matatizo ya malezi ya watoto, matabia mambovu watapambana nayo wao wenyewe na viburi vyao.Huyo mtoto ubini wake ni nani..??
Je mwanamke bikra anaweza pandikizwa na akazaa wakati ametunza bikra yake..??
Alafu huu ujinga utasababisha wanawake wawe na kibri sana, kwamba anaweza kupata mtoto hata bila kupigwa miti...[emoji41]
Ukitolewa mji wa uzazi huo ujauzito unaenda kutungia wapi kwenye kibofu au?!Hilo tatizo limekaeje kwa wale wanawake waliotolewa mfuko wa uzazi kutokana na matatizo mbalimbali wanaweza pata mimba au?
DUUH! hapo kwenye kibofu sasa!Ukitolewa mji wa uzazi huo ujauzito unaenda kutungia wapi kwenye kibofu au?!
Hawawez maana ukuaji wa mtoto unaanzia kwenye mfuko wa uzazi.Hilo tatizo limekaeje kwa wale wanawake waliotolewa mfuko wa uzazi kutokana na matatizo mbalimbali wanaweza pata mimba au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu mnooo.Tumeshafika hatua ya kutafuta mtt kwa 7mil
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] buree ni wee na shem kugalagazana tyuuh.Bure???Kama Ni bure niende wanipandikize mapacha nipumzike[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukitolewa mji wa uzazi huo ujauzito unaenda kutungia wapi kwenye kibofu au?!
baba wa mtoto nani? Na ikiwa mwanamke anamume inahitaji makubaliano.Mwanamke mmoja (50), amefanikiwa kupata watoto mapacha kwa njia ya upandikizaji mimba jijini Arusha.
Mwanamama huyo ni mmoja kati ya wanawake 500 waliofanikiwa kupata watoto kwa huduma hiyo inayotolewa na kituo cha Huduma ya Uzazi na Upandikizaji Mimba cha Avinta Care Medical kilichopo jijini humo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha mapema wikii hii, Daktari bingwa wa magonjwa ya kinamama na uzazi wa kituo hicho, Nicholaus Mazuguni amesema kwa sasa wanafanya huduma hiyo wakishirikiana na wataalamu kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Amesema waliamua kutoa huduma hiyo ili kutatua changamoto ya uzazi iliyokuwa ikisumbua familia nyingi na kufuata huduma hiyo nje ya nchi, ambapo kwa sasa wanahudumia wagonjwa 100 kwa wiki.
"Tumeanza kutoa huduma hii 2017, tumeshapandikiza wanawake zaidi ya 500 na kufanikiwa kupata watoto zaidi ya 250. Mwitikio ni mkubwa kwa sababu watu walikuwa wanatumia gharama kubwa kwenda nje ya nchi”
"Mara ya mwisho tumempandikiza mapacha mwanamke mwenye miaka 50 na amefanikiwa kupata watoto wake vizuri bila shida yoyote. Wengi wanafurahi kwani wameteseka na kukutana na changamoto nyingi katika kutafuta watoto. Gharama zetu za utoaji wa huduma ni kuanzia Sh7 milioni na kuendelea kulingana na umri wa mgonjwa," amesema.
Kwa upande wake Daktari wa akinamama kutokana Muhimbili, Hildegarda Aloyce amesema wamekuwa wakishirikiana na kituo hicho cha Avinta katika kutatua changamoto za uzazi kwani tatizo hilo bado ni kubwa katika jamii ambapo kati ya wagonjwa 10 ambao wamekuwa wakipokelewa wagonjwa 4 hadi 6 wana tatizo la uzazi .
Mganga Mkuu wa Mkoa, Dokta Sylvia Mamkwe amepongeza juhudi hizo zilizofanywa na kituo hicho kwa kushirikiana na hospitali nyingine,na Kama serikali wapo tayari kutoa ushirikiano wa kutosha katika kufanikisha huduma hiyo ili kuwahudumia wagonjwa wengi zaidi.
Mmoja wa wanufaika kutokaa wilayani Simanjiro, Martha Sangwa amesema kuwa amefurahishwa sana kwa huduma hiyo iliyomfanikisha kupata watoto mapacha kwani ameteseka kwa miaka 16 bila msaada wowote, hivyo uwepo wa kituo hicho ni faraja kubwa sana kwao na kuwataka wanawake kujitokeza kwa wingi kupata huduma hiyo.
Source: Mwananchi
Kugalagazana Tena..!!!..kwenye kupandikiza??au Mimi sijaelewa🤔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] buree ni wee na shem kugalagazana tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utajua hujui.Kugalagazana Tena..!!!..kwenye kupandikiza??au Mimi sijaelewa[emoji848]
Kwa sababu kuna matatizo ya uzazi wanawake, ambapo mayai inabidi kwanza yavunwe, halafu yarubishwe kwenye test tube kisha zygote ndio ipandikizwe tumboni.Nini kimefanya wenyewe washindwe kupandikiza na Arusha ni baridi? Au nao wameambukizwa udhaifu toka Namanga na Taveta
Mwanamke mmoja (50), amefanikiwa kupata watoto mapacha kwa njia ya upandikizaji mimba jijini Arusha.
Mwanamama huyo ni mmoja kati ya wanawake 500 waliofanikiwa kupata watoto kwa huduma hiyo inayotolewa na kituo cha Huduma ya Uzazi na Upandikizaji Mimba cha Avinta Care Medical kilichopo jijini humo
Amesema waliamua kutoa huduma hiyo ili kutatua changamoto ya uzazi iliyokuwa ikisumbua familia nyingi na kufuata huduma hiyo nje ya nchi, ambapo kwa sasa wanahudumia wagonjwa 100 kwa wiki.
"Tumeanza kutoa huduma hii 2017, tumeshapandikiza wanawake zaidi ya 500 na kufanikiwa kupata watoto zaidi ya 250. Mwitikio ni mkubwa kwa sababu watu walikuwa wanatumia gharama kubwa kwenda nje ya nchi”
"Mara ya mwisho tumempandikiza mapacha mwanamke mwenye miaka 50 na amefanikiwa kupata watoto wake vizuri bila shida yoyote. Wengi wanafurahi kwani wameteseka na kukutana na changamoto nyingi katika kutafuta watoto. Gharama zetu za utoaji wa huduma ni kuanzia Sh7 milioni na kuendelea kulingana na umri wa mgonjwa," amesema.
Kwa upande wake Daktari wa akinamama kutokana Muhimbili, Hildegarda Aloyce amesema wamekuwa wakishirikiana na kituo hicho cha Avinta katika kutatua changamoto za uzazi kwani tatizo hilo bado ni kubwa katika jamii ambapo kati ya wagonjwa 10 ambao wamekuwa wakipokelewa wagonjwa 4 hadi 6 wana tatizo la uzazi .
Mganga Mkuu wa Mkoa, Dokta Sylvia Mamkwe amepongeza juhudi hizo zilizofanywa na kituo hicho kwa kushirikiana na hospitali nyingine,na Kama serikali wapo tayari kutoa ushirikiano wa kutosha katika kufanikisha huduma hiyo ili kuwahudumia wagonjwa wengi zaidi.
Kama hata Magufuli alishindwa kuwakumbuka hao wanyonge...this time wasahau.Huduma hii itawafikiaje wananchi masikini wasio na uwezo bali wangehitaji?
Mkuu; Atakayeudhika kwa maamuzi yako ww binafsi atakuwa ana lake jambo.namshukuru Mungu amenipa watoto naturally kupitia mke wangu. hata hivyo, nilishaapa, sitahitaji mtoto wa kupandikiza, simtaki, na nisingempenda., kwasababu nisingeona kama ni mtoto au mwanadamu halisi kama wanadamu wengine. samahani kwa nitakayemuudhi.
Mkuu; Baba wa mtoto atafahamika kwani katika mfumo wa uchukuaji mbegu(Sperm-donor) na Upandikizaji kumbukumbu hutunzwa. Mtindo huu kwa upande wa wanyama/mifugo unaitwa Uhimilishaji (Artificial Insemination).Tayari ipo mkuu, wengi km siyo baadhi wanapandikizwa na kuoigwa wembe kisa hawataki kukutana na nyie pia kuoata uchungu as they called usumbufu.
Tatizo baba mtoto ndiye hafahamiki so akikua na kuja kugundua I'ven't Dad sijui inakuwaje 🥲!