Wanawake 500 wapata mimba kwa upandikizaji Arusha

Tayari ipo mkuu, wengi km siyo baadhi wanapandikizwa na kuoigwa wembe kisa hawataki kukutana na nyie pia kuoata uchungu as they called usumbufu.

Tatizo baba mtoto ndiye hafahamiki so akikua na kuja kugundua I'ven't Dad sijui inakuwaje 🥲!
Nafikiri wanachukua sperm za waume zao halafu wanaziingiza kwa wenza wao
 
Hii inshu ya IVF, huwa ni msaada kwa yupi... Ni mwanaume ndiyo hana uwezo wa kutia mimba? ama ni mwanamke ndiyo hana uwezo wa kunasa mimba?

-Kaveli-
Unaweza kuwasaidia wote,kwa mfano mwanaume anaweza kushindwa kusababisha nimba kwa sababu ya uchache wa manii.hii njia inamfaa
 
Nini kimefanya wenyewe washindwe kupandikiza na Arusha ni baridi? Au nao wameambukizwa udhaifu toka Namanga na Taveta
Mikoa ya baridi watu huwa ndio wanakuwa na moto balaa na kuweza kupata watoto kwa haraka kuliko mikoa ya joto.
 
Huyo mtoto ubini wake ni nani..??
Je mwanamke bikra anaweza pandikizwa na akazaa wakati ametunza bikra yake..??
Alafu huu ujinga utasababisha wanawake wawe na kibri sana, kwamba anaweza kupata mtoto hata bila kupigwa miti...[emoji41]
Kwan shida ipo wapi?! Wao wapate watoto walee wenyewe nani anataka kuhangaika na watu wenye kiburi. Matatizo ya malezi ya watoto, matabia mambovu watapambana nayo wao wenyewe na viburi vyao.
 
Hilo tatizo limekaeje kwa wale wanawake waliotolewa mfuko wa uzazi kutokana na matatizo mbalimbali wanaweza pata mimba au?
Ukitolewa mji wa uzazi huo ujauzito unaenda kutungia wapi kwenye kibofu au?!
 
Hilo tatizo limekaeje kwa wale wanawake waliotolewa mfuko wa uzazi kutokana na matatizo mbalimbali wanaweza pata mimba au?
Hawawez maana ukuaji wa mtoto unaanzia kwenye mfuko wa uzazi.
 
Bure???Kama Ni bure niende wanipandikize mapacha nipumzike[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] buree ni wee na shem kugalagazana tyuuh.
 
baba wa mtoto nani? Na ikiwa mwanamke anamume inahitaji makubaliano.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] buree ni wee na shem kugalagazana tyuuh.
Kugalagazana Tena..!!!..kwenye kupandikiza??au Mimi sijaelewa🤔
 
Milioni 7 mara 100 kwa wiki ni 700mil. , kwa mwezi ni kama bilioni 3. Sasa kwanini tusiwalipishe hili tangazo la biashara?

Pia huyo wa miaka 50, alipandikizwa mayai yake au ya mwanamke mwingine? Kama ni ya mwanamke mwingine basi ni bora uka-adopt tu, maana hata ukipima DNA itaonyesha kwamba wewe sie mzazi wake
 
Nini kimefanya wenyewe washindwe kupandikiza na Arusha ni baridi? Au nao wameambukizwa udhaifu toka Namanga na Taveta
Kwa sababu kuna matatizo ya uzazi wanawake, ambapo mayai inabidi kwanza yavunwe, halafu yarubishwe kwenye test tube kisha zygote ndio ipandikizwe tumboni.
 
Tunawatakia mafanikio makubwa.
 
Mkuu; Atakayeudhika kwa maamuzi yako ww binafsi atakuwa ana lake jambo.
Hoja yangu kwako ni hii: Je, hao watoto wako uliopata naturally kupitia mke wako unauhakika 100% ni wewe uliyepandikiza?? Wahenga wanatutanabahisha kwamba anayemjua baba wa mtoto kwa uhakika ni Mama. Ndiyo maana Wahenga waliweka msemo "kitanda hakizai haramu" kwa lengo la kuepusha udadisi-dadisi kwa Wake zetu na kuepusha Migogoro mingi katika ndoa zetu na watoto watakaozaliwa baina yenu wanandoa wapate matunzo.
Samahani lakini kama nitakuwa nimekuudhi.
 
Tayari ipo mkuu, wengi km siyo baadhi wanapandikizwa na kuoigwa wembe kisa hawataki kukutana na nyie pia kuoata uchungu as they called usumbufu.

Tatizo baba mtoto ndiye hafahamiki so akikua na kuja kugundua I'ven't Dad sijui inakuwaje 🥲!
Mkuu; Baba wa mtoto atafahamika kwani katika mfumo wa uchukuaji mbegu(Sperm-donor) na Upandikizaji kumbukumbu hutunzwa. Mtindo huu kwa upande wa wanyama/mifugo unaitwa Uhimilishaji (Artificial Insemination).
Tatizo ninaloliona kwa binadamu ni kwa Wanaume Inferior watakuwa eliminated i.e. hawatapata fursa ya kuzaa au kuendeleza kizazi chao kwani vinasaba visivyotakiwa (inferior Traits) hazitakiwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…