Wanawake acheni hii tabia mara moja

Wanawake acheni hii tabia mara moja

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Morng guys

Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pauperism kwa kiingereza.

Ila pongezi kwenu wanawake ambao mkifika mnajaza savana kwenye meza ninyi pesa sio shida zenu na ninyi ndio mnatakiwa sana, asilimia mia ni nadra kuwakuta wa aina hii kuwa dependent person.
 
Morng guys

Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pourperism kwa kingeleza

Ila pongezi kwenu wanawake ambao mkifika mnajaza savana kwenye meza ninyi pesa sio shida zenu na ninyi ndio mnatakiwa sana asilimia mia ni nadra kuwakuta wa aina hii kuwa dependent person
Wewe ni mgeni mjini, najua kwenu kijijini uliambiwa habari za machangudoa, ndio hao sasa
 
Morng guys

Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pourperism kwa kingeleza

Ila pongezi kwenu wanawake ambao mkifika mnajaza savana kwenye meza ninyi pesa sio shida zenu na ninyi ndio mnatakiwa sana asilimia mia ni nadra kuwakuta wa aina hii kuwa dependent person
Mbona tunaonunua Macalan 18yrs hatujajiona Kwa uzi mkuu.
 
Mbona tunaonunua Macalan 18yrs hatujajiona Kwa uzi mkuu.
Hii single malt ni nzuri mnooo kwakweli

images (6).jpeg
 
Back
Top Bottom