Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Morng guys
Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pauperism kwa kiingereza.
Ila pongezi kwenu wanawake ambao mkifika mnajaza savana kwenye meza ninyi pesa sio shida zenu na ninyi ndio mnatakiwa sana, asilimia mia ni nadra kuwakuta wa aina hii kuwa dependent person.
Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pauperism kwa kiingereza.
Ila pongezi kwenu wanawake ambao mkifika mnajaza savana kwenye meza ninyi pesa sio shida zenu na ninyi ndio mnatakiwa sana, asilimia mia ni nadra kuwakuta wa aina hii kuwa dependent person.