Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ahahhah na serengeti lite siyo? ππmbona mapema sana
Lipia tangazo la Savana
Unajua wewe si umelipwaπAhahhah na serengeti lite siyo? ππ
Dah kwahiyo nalipia wapi tangazo kwako au ππUnajua wewe si umelipwaπ
Wewe ni mgeni mjini, najua kwenu kijijini uliambiwa habari za machangudoa, ndio hao sasaMorng guys
Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pourperism kwa kingeleza
Ila pongezi kwenu wanawake ambao mkifika mnajaza savana kwenye meza ninyi pesa sio shida zenu na ninyi ndio mnatakiwa sana asilimia mia ni nadra kuwakuta wa aina hii kuwa dependent person
Mbona tunaonunua Macalan 18yrs hatujajiona Kwa uzi mkuu.Morng guys
Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pourperism kwa kingeleza
Ila pongezi kwenu wanawake ambao mkifika mnajaza savana kwenye meza ninyi pesa sio shida zenu na ninyi ndio mnatakiwa sana asilimia mia ni nadra kuwakuta wa aina hii kuwa dependent person
Ahahahhah ahahhaha dah kwahiyo huwa wanatafuta vichwaWewe ni mgeni mjini, najua kwenu kijijini uliambiwa habari za machangudoa, ndio hao sasa
Sasa hilo ni la kuuliza πDah kwahiyo nalipia wapi tangazo kwako au ππ
Habari yako mama?Mbona tunaonunua Macalan 18yrs hatujajiona Kwa uzi mkuu.
Hii single malt ni nzuri mnooo kwakweliMbona tunaonunua Macalan 18yrs hatujajiona Kwa uzi mkuu.
Ninyi nao mmezwa na savana ππMbona tunaonunua Macalan 18yrs hatujajiona Kwa uzi mkuu.
Haya nalipia ivi soonSasa hilo ni la kuuliza π
Fafanua tukuelewe muhenga πWengi ni wanaume ila wanavaa kike
Una shangaa umemuambia agiza kingine ana agiza wine wakat alikuwa anakunywa serengetWapo kikazi zaidi sasa jichanganye sasa ufurahie show.
Mbona sijakutaja jina lakini unajitaja mwenyewe πSasa mtu akikaa hivyo wewe inakukereketa nini jamani....