DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kiukweli hawa jamaa wachafu Sana.
Nimeona hili Jambo niliseme, yaani ukijichanganya kuingia katika gheto la mwanamke utajuta kuzaliwa
Hivi nyie wanawake kwanini hamjipendi, mnashindwa kufua hata mashuka tu?
Ahaa mnaboa sana, mna usafi wa nje tu lakini ndani aibu. Kama nasema uongo waulizeni wanaume.
Wengine mmeolewa lakini bado hamjitambui, hamna akili za kutawala mazingira.
Uchafu siyo mzuri.
Nimeona hili Jambo niliseme, yaani ukijichanganya kuingia katika gheto la mwanamke utajuta kuzaliwa
Hivi nyie wanawake kwanini hamjipendi, mnashindwa kufua hata mashuka tu?
Ahaa mnaboa sana, mna usafi wa nje tu lakini ndani aibu. Kama nasema uongo waulizeni wanaume.
Wengine mmeolewa lakini bado hamjitambui, hamna akili za kutawala mazingira.
Uchafu siyo mzuri.