Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
AhsanteHapo umewaonea wanawake wasafi bro, ukitaka kulala bila kuoga atalalamika then unaenda kuoga yaishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhsanteHapo umewaonea wanawake wasafi bro, ukitaka kulala bila kuoga atalalamika then unaenda kuoga yaishe
Sio wote.ujakutana na wanawake wasafi ukiingia geton mwake unadataKiukweli hawa jamaa wachafu Sana.
Nimeona hili Jambo niliseme, yaani ukijichanganya kuingia katika gheto la mwanamke utajuta kuzaliwa
Hivi nyie wanawake kwanini hamjipendi, mnashindwa kufua hata mashuka tu?
Ahaa mnaboa sana, mna usafi wa nje tu lakini ndani aibu. Kama nasema uongo waulizeni wanaume.
Wengine mmeolewa lakini bado hamjitambui, hamna akili za kutawala mazingira.
Uchafu siyo mzuri.