Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Transgender mbna unawazungumzia mkuu? Au mie ndo sielewi?
Shemale najua anazaliwaa natural, ila transgender ndo wanaofanya surgery.
Umeanza lini uchoyoo embu nipe hiyo connection watsap kule
 
Transgender mbna unawazungumzia mkuu? Au mie ndo sielewi?
Shemale najua anazaliwaa natural, ila transgender ndo wanaofanya surgery.
HaKuna shemale wa kuzaliwa
Kumbuka shemale( Tboy au trany) anakuwa anamuonekano wa kike na matiti lakin ana mbooo hakuna mtu anazaliwa hivo wale tboys unao wajua ni

surgery ambayo abadili mfum wa uzazi just anongez vitu vichache kama tities

lakini Transgender anabali adi viungo vya uzazi yaana complete to another gender,

Wanaozaliwa natural ni watu weny jinsia mbili na wenye hormones nyingi za jinsia nyingine

Tofautisha shemales na transgender
 
Ouk ahsante kwaa maarifa, nashukuru kwa ufafanuzi muruaa.
Ubarikiwe.
 
Chuo kuna jamaa mmoja alikua anahang na wadada tu, kwa pozi zake na kukatika kwenye mziki tukajua tu uyu sio mwanaume. Sasa mchizi wangu alikua anakula demu rafiki yake. Yule manzi akija kwa mchizi wangu akaanza kunipa stori jinsi jamaa anavyonitaka 🤔. Sema hio michezo sinaga nikapotezea mazima .
 
🤣🤣Wallahy umejua kunichekesha..

Sipati picha wakati anakimbia huku anapiga kelele km kaona mzimu.
 

Leo ndio najua kama cocasticcn mmama[emoji23][emoji23]
 
Leo ndio najua kama cocasticcn mmama[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] kipi kimejulisha tafadhari?
Km kigezo ni ndoa, hata wadada/wasichana wanaolewa.

Pia sahivi hadi mashoga nao wanaveshwa Pete na kuolewa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kipi kimejulisha tafadhari?
Km kigezo ni ndoa, hata wadada/wasichana wanaolewa.

Pia sahivi hadi mashoga nao wanaveshwa Pete na kuolewa.

I mean leo ndio nmejua kama wewe ni wakike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…