mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Wanaangalia upole wako kwanza....kila mwanaume ana viashira vya kike kidogo, na Kila mwanamke ana viashiria vya kiume kidogo......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio wazima kichwanii, ila hivi hao mashoga hawaogopiii kukurupukia straight? Huwaa najiuliza yaan wanaanzaje? Wakiwa wamelewa, wamevuta bangi au??
Mbna kavu kavu haiji kabisaaa, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kigamboni ina mashoga wengi sana tena sana ukienda Longono utawaonaJuzi tena natoka zangu ferry kwenda home ile napanda na pikipiki toka bondeni tanavamba naianza lami inayopita mbele ya maduka mpka petrol station pale nikasimamishwa na mshkaji mmoja akaniuliza mm ni boda na mimi nikamuhoji unaenda wapi?
Akajibu anaenda majumba sita na ndio njia yangu sipendi sana kupita kibada njia ya kati basi akachukua chipsi zake ila toka akiwa anaongea na mimi nilihisi ni shoga kabisa nikavunga.
amepanda akanishika bega na nikawa namsikia kaleta kifua kwenye mgongo wangu haooo tukaanza safari hatujafika hata rongoni jamaa akaanza kuniongelesha najidai simsikii nina helmet akasogeza mdomo eneo la sikio ananiambia twende kwangu nikamwambia ndio naenda kwako si unanilipa nikupeleke ananipiga kibao cha kidada kabisa ananiambia bwanaaaa kwani hunielewi ww nae nikamwambia funguka hapo tushaikamata pweza naona mbele paleee ndio njia ya kuingia majumba sita nikaingia .
tulipofika nikaenda na barabara ina vidimbwi vya hapa na pale tukafika kwenye ka mjengo kana geti ananiambia ingiza pikipiki nikamwambia we fanya malipo alafu nipange siku nyingine tuonane leo sikua na nia wala mpango wa kukutana na mtu kufanya uchafu jamaa akaniamini . Akanipa 5k na nauli ya pale kwa usiku ni 3k mtu akibana hata 2k unampeleka si njia hiyo hiyo mbele kwa mbele basi nikakamatia hela yangu nikampa namba za uongo na kweli akapiga ikaita na sijui ni namba ya nani basi nikamwambia nitaisave hakutaja jina akasema nisave rafiki na mimi nikamwambia save rasuli kuepusha mambo mengi kesho asije akanikuta sehemu akaanz akuita jina la kweli ikawa kimbembe. Nikaondoka ila mashoga kigamboni sio mchezo wapo kuanzia vijana wadogo hadi mibaba mizima kabisaaa na sio mara ya kwanza kukutana na uchafu huu inasikitisha
Aaaaah wee thubutuuu, wanakua washajitoa ufahamu wallah, hivi hivi mmmhWanaangalia upole wako kwanza....kila mwanaume ana viashira vya kike kidogo, na Kila mwanamke ana viashiria vya kiume kidogo......
Urafiki unajebgwa taratibu mara unaanza kushikwakwa.....
Sasa kutongoza si kujitoa ufahamu na wewe[emoji23]Aaaaah wee thubutuuu, wanakua washajitoa ufahamu wallah, hivi hivi mmmh
Ndo shoga ajitongozeshee kwa straight?? Real?Sasa kutongoza si kujitoa ufahamu na wewe[emoji23]
Sasa vibe unalomuonyesha anakosa uhakika, kwasababu Kuna wale 'bisexual' wanasukuma jinsia zote mbili.....Ndo shoga ajitongozeshee kwa straight?? Real?
Aaaaah
Najua, ila shoga kujitongozeshaa hadi kumtamkia muhusika, haijakaa poa, bora uoneshe ishara akielewa fresh, akikaushaaa poa tyuuh.Sasa vibe unalomuonyesha anakosa uhakika, kwasababu Kuna wale 'bisexual' wanasukuma jinsia zote mbili.....
Soko linakua au vipi[emoji23]Najua, ila shoga kujitongozeshaa hadi kumtamkia muhusika, haijakaa poa, bora uoneshe ishara akielewa fresh, akikaushaaa poa tyuuh.
Sasa unamfungukia mwshoe unasambazwaa mtaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmh majangaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Soko linakua au vipi[emoji23]
Na wanahonga mzee[emoji23]Mmmh majangaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kigamboni ina mashoga wengi sana tena sana ukienda Longono utawaona
Makubwaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wanahonga mzee[emoji23]
Kuna siku(last wikiend)nipo zangu hapo rongoni na demu angu mida ya saa 10 jioni,tumepoa ile kinyamwezi tu,tunaenjoy breeze na vinywaji mbele yangu naona kuna meza wamekaa watu wanne wanaume wa 3,na demu mmoja.Rongoni ni beach club na wateja WA hiyo Beach club asilimia 90 sio wakazi wa Kigamboni.... asilimia 90 wanatokea Mbagala....
Unachokiona hapo Rongoni usihusishe na Kigamboni
Slope raha[emoji23] unateleza shwaaaMakubwaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na mnavopenda slope sasa, ndo maana mabasha kibao mtaan, hadi vitoto vya sec. Lol
Mm mtafiti Coca,trust meSiwezi kubishaaa, sijawahi fanya utafiti kujua hilo. Naheshimu mawazo yako.
Afande usibishe wateja wa mbagala ni siku za holiday tu pale Hadi kuna photographer mashogaRongoni ni beach club na wateja WA hiyo Beach club asilimia 90 sio wakazi wa Kigamboni.... asilimia 90 wanatokea Mbagala....
Unachokiona hapo Rongoni usihusishe na Kigamboni
Kwann nivunje sheria ukishawajua hawasumbua la msingi kumkwepa utampiga alafu haisaidii chochoteIla km huyo ungemzibua makofi akili imkae, huwa nasema kila siku shoga yeyotee akikusumbua na wee hutaki malizana nae hapo hapo.
Ila nimechekaa hadi machoziii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu wanapitia magumu khaaah
Bora Mbowe sio ErythrocyteMbowe akikusikia hatakuelewa
Tungi midizini kichangachui maeneo ya uwanja wa swala kuna vishoga kibao vinakaa mitaa hio na ni kwavile sina uzoefu sana wa mitaa ya katikati pale ila kigamboni imechafuka njoo sasa kuelekea geza kuelekea kibada aloo wapo kibao. Wanaipenda rongoni kwakua wanajua ni fukwe ya jeshi na usalama upo kiasi japo ukijipindua unaliwa kichwa mapema kabla wajeda hawajajaRongoni ni beach club na wateja WA hiyo Beach club asilimia 90 sio wakazi wa Kigamboni.... asilimia 90 wanatokea Mbagala....
Unachokiona hapo Rongoni usihusishe na Kigamboni