theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sio kila mdada. Wengine ndo wale wanaweka siki sijui jik. Mara katia vikorombwezo gani. Ukiingia kwanin usibabuke mdomo sasa.
Nishafanya huo mchezo kwa wadada wawili tu tena mara moja na haizidi hata dakika moja....Na sio kila mdada. Wengine ndo wale wanaweka siki sijui jik. Mara katia vikorombwezo gani. Ukiingia kwanin usibabuke mdomo sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Polyps ndo nini tena?Nishafanya huo mchezo kwa wadada wawili tu tena mara moja na haizidi hata dakika moja....
Hii ni kutokana na wao kutaka niwagyse huko na kabla sijatia uso wangu huko katikati ya romance huwa nachunguza kama panafaa kweli au laah then ndio najipa Go ahead.....
Kuna wengine ukiona nanilii ilivyokaa tu unaogopa kupeleka sura yako huko maana unaweza toka na polyps asubuhi yake.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Polyps niseme vidude tudogo dogo vinavyoota au kujitokeza kwenye any mucous membrane ....
Usikariri mkuu wengin macho ya kurembua ndio yalivyo, mtoto wa kiume kabisa jicho limeregea lkn ndio uumbaji wa mung huwez jibadili sura yako. Cha msingi nikikemea hii tabia Kwa nguv zote maana mwenyew nimegundua wanaotongoza wanaum wenzao wapo Na wana tumia labda pes zao kulaghai watoto wadogo hasa 20s, sasa mtu akizaliwa hivo afanyaje? Umeona jicho Kama la rayvan vile....., Au unakuta mtoto wa kiume lkn kimsingi n mzur hata kama tunasema watoto wa kiume hawasifiw uzuri,.............Na Kama hiyo tabia siyo yako hata uweje huwez shawishika kufanya upuzi Kama huo, mi mtu naweza mtemea mate kabisa mana et kukuona tu....mara mtu from no where et dogo vipi, unamsalia fresh ukijua mtu kafeel kukupa salam mara ooh vijiswali fulan ambavyo ukiwa Na uelewa mpan unagundua huyu mpuuzi ana tabaia izo......mafala Kama hao namind kinoma !!!!!!! Nataman nimtie gun kabisaWAKUU ACHENI KULEA HUU UPUMBAVU , MIMI NIKIONA FRIEND REQUEST KUTOKA KWA MTU MWENYE MACHO YA KUREMBUA NAANGALIA PICHA ZAKE NYINGINE NABLOCK MUDA HUO HUO, NA MWANAUME MWENYE TABIA ZA KIKE HUWA SITAKI MAZOEA NAE KABISA ....... SHENZI SANA ...... SAME APPLIES KWA MASHUGA MUMMY NA WANAWAKE WANAOONEKANA WANAJIUZA
Sent using Jamii Forums mobile app
IV Kati msagaji na anayesagwa yupi anapata raha? Hasa huyo msagaji....ni vipi yy anapata raha?Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
Salama kabisa mkuu,Za kwako?
Mimi hadi sasa nasumbuliwa na wadada 2 mtu na mama ake mdogo, ni marafiki zangu kitambo ila nilikuwa sijui kama wana kamchezo huko, ila walikuwa wakarimu sana jamani na mimi nikawa nawafanyia ukarimu japo walikuwa wanaonyesha kutokuhitaji, siku waliponifungukia nilishangaa na kwa kweli nilikimbia, kwanza walilewa sana na mimi situmii pombe, nikaamua kuwarudisha kwao ili nami niende kwetu, sasa ile nafika tu na kuwaingiza chumbani mmoja kufunga mlango Kasema hutoki leo, nikajua utani tu, wakatoa vifaa vyao pamoja na sex dolls kila saizi, nilitetemeka mno kidogo nizimie, sasa mmoja karukia titi mwingine kiuno na usumbufu mwingi, nilitumia Akili nyingi kuliko nguvu kuwakimbia, niseme tu imani yangu ndo iliyonisaidia vinginevyo ingekuwa kwisha habari yangu, maana ni kama wamesomea, Na tangu siku hiyo sijawahi kaa nao meza moja hata kwa maongezi Ila bado wananipa zawadi mbalimbali na hunifuata kazini ila nyumbani nimewapiga marufuku, hatari sana hawa watu
Hawataweza na wanalijua hiloUnafanya kosa kupokea vitu haramu kwa sababu vina kusudio haramu.
Jamaniiiii....IV Kati msagaji na anayesagwa yupi anapata raha? Hasa huyo msagaji....ni vipi yy anapata raha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe huna siri!....si alikuuliza kama wewe ni msiri ukakubali ndo maana akakiri kwako sasa mbona unakuja kusimulia!?Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,Kila siku tunasoma tu kwenye mitandao mambo ya usagaji na Ushoga katika kila jamii. Nina imani kama hali hii ipo lazima yamemkuta mwenzetu humu mmu labda kwa kutokewa au kuwa na uhusiano wa hali hiyo.
Kwa yeyote aliyewahi aje atupe ilivyokuwa alipotokewa kwa mara ya kwanza na kama alikubali au alikataa alikurana na changamoto zipi. Nianze na mimi mwenyewe nimewhi kusumbuliwa na boss wangu mmoja wa kiume kule mombasa nilikuwa kuwa field attachment, by then yule jamaa alikuwa front office manager, mtu wa mtaa mmoja unaitwa kibokoni, kwa wasafiri wengi wa mji wa mombasa huu ni mtaa wa mashoga wengi, nilipata wakati mgumu mpaka nikawa namkwepa mwisho nikaacha field attachment kwa sababu tofauti.
Alikuwa hana aibu nakumbuka kabla sijamjua tulienda wote nje usiku mmoja kula nyama choma na kuongea mawili matatu, wote tulikuwa hatunywi pombe lakini huyu jamaa alikuwa ameniambia atachelewa kwenda mjini ambapo ni kwake kwa hyo tukatoka na kwenda kupata nyama choma, nilikuwa na muhisi ana mwagiwa maji nikasema acha nijionee, kwa usiku ule akishindwa kunitamkia live lakini alikuwa anajilegeza.Nakumbuka nilimuuliza ulisema unataka tuongee usiku unazidi vipi?
Alinijibu vitu tofauti mwisho nika jiongeza na kumuuliza kwa kiingereza "Abdio samahani kama nitakukera naomba nikuulize kitu.. Akanijibu bila smahani kede,uliza tu.Nikamuuliza are you gay? Hakunijibu aliitikia kwa kichwa kama mtoto wa chekechea,nikajiskia vibaya sana.
Akafunguka mengi sana akaniambia niwe na siri na kadhalika nikamjibu kuwa nitampa jibu,kipindi hicho simu za mkononi kama zilikuwepo mimi sikuwa nayo it was in 1997/98.Usumbufu ulikuwa ule wa live.Huyu jamaa alikuwa shoga.
Bwana Abdio nakukumbuka sana sijui kama uko hai. Samahani mimi sio mwandishi mzuri.
@madame B: Mzigua90 ni one of my best friend ni rafiki wa kweli hana shida kabisa na nampenda....Mzigua90 na theriogenology nawafuatilia vizuri....
Salama kabisa wa nyumbani nakutaka PMSalama kabisa mkuu,Za kwako?
Kwa hiyo alikupiga vidole.?Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.