warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Me naona mashoga ni watu ambao tunatakiwa tujifunze namna ya kushi nao ktk jamii zetu,kwa sababu kwenye jamaa zetu kuna watu hatari zaidi ya hao mashoga,tatzo kubwa la shoga ni iyo homosexual basi hana madhara mengine zaidi ya hayo,
Rushwa,ujambazi,ubinafsi haya ndio matazo yanayoirudisha nyuma jamii
Mashoga wapo na huzaliwa ivyo wengine sasa kuwachukia inasaidia nini ni kujifunza tu namna ya kuishi nao na kukubali mapungufu yao ktk jamij zetu
Simaanishi naunga mkono ivyo vitendo lahasha lakini uwepo wao ktk jamii zetu hauepukiki tujifunze tu namna ya kuishi nao na kukubali mapungufu yao
Nakupa offer ya tigo buree binamu ucheze nayo usiku kucha[emoji16][emoji16], nyie ndo wanaume sasa sio hii minguruwe pori mxieew[emoji16][emoji16]