GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na mnisikie kweli kweli kisha mbadilike.Sawa tumekusikia
Ya Msumeno kata kwa chini bado sijaijua.Tangu umeanza kudomba bado unataka ubunifu tu style ipi usiyojua wewe!!
Wamenikera sana Jana hasa Kapombe na Tshabalala.😃😃😃😃😃 mabeki wa simba tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mishanga yenyewe ya kishirikina ukijichanganya kuigusa tu ndo basi tena[emoji3][emoji3]
Coca best angu mambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani hawanyoi?[emoji1787]Wewe itakuwa shanga zimekamata vuzii umeamua uje uugulie maumivu huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ankol itakuwa alisahau 😂😂Kwani hawanyoi?[emoji1787]
Ikulu unaisahau vipiAnkol itakuwa alisahau [emoji23][emoji23]
Ikulu unaisahau vipi
Shanga nyingine huvaliwa pamoja na dawa ya kuzuia mimba ya asili.Kwanza wengine hata hatupendi Shanga zenu kwani huwa zinatupigia Kelele na hatusikii Mlio wa Mkuyenge ukiwa unachanja Mbuga Mbunyeni hali ambayo inaleta raha na kuongeza mzuka wa Mbanduano ( Kutiana )
Na kuna Wengine mnavaa hizo Shanga zenu halafu mmebweteka na Kuzubaa tu kama Beki za pembeni za Simba SC Kapombe na Tshabalala na hata Kukata tu Viuno hamjui hadi akina GENTAMYCINE Fally Ipupa tuwakatikie huku Mikuyenge yetu nayo ikizama na kuchomoka.
Hatutaki Shanga tunataka Ubunifu!!!