Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

Duh,wanawake ndo mlivyo,huwa hamkosi sababu...ni vizur lakini
 
6tag-345786009-929830510615579547_345786009.jpg


Fact or Fiction?
 
Napenda mwanaume mwenye sura ngumu ,na pia mfukon kuwe na mawe co awepo awepo tuu anajipodoa mpk nione kero
 
waambie mzee ni haki kweli?
Mambo mengine ni mashauzi tu
hamna anayependa uchafu ila kwa mwanaume ukioga fresh ukapaka na mafuta yasiyo na chemicals u maintain ngozi ya asili na kuvaa normal ama standard, kuna shida gan?
Lakin mtu weekend yote unasuguliwa uso ukitoka hapo mtu unamuonea had huruma,.atahamia kwenye nywele apake dawa sjui...atatoka hapo ataenda duka la pamba kali ...surual za kubanaaa na vi t shirt vidogooo ...weekend hana time na mwenza wake...yeye anarembesha sura na kununua minguo ...duh
 
hata mbuzi anato..
Kweli kabisa.. Lakini mbuzi anatomb..a mbuzi. Na ndio maana huangaiki kumuambia mbuzi mahitaji ya moyo wako.. Unaniambia mm ambaye Nina uwezo wa kutimiza hamu zako.. Na mm mwenye huo uwezo sitaki kusikia habari za ukiwa hivi nakupenda, ukiwa vile sikupendi.. Mm nakuweka sawa kitandani, wa kumpenda utapata mbele huko.
 
Ha ha haaaaaaa,wazee wa viduku,wavaa hereni na kujichubua inawahusu hii.
 
Ni suala la kisaikolojia zaidi. Mwanamke kuna vitu anahitaji kutoka kwa mtu anayemuita mume, kimojawapo ni ULINZI. That sense of being safe haipatikani kwa mwanaume wa kujiremba, sura nzuri na nyoro nyoro. Namna yako ya kuvaa na kuongea inaweza kumfanya mkeo aone kama anakaa na mwanamke mwenzake ndani.

Ni ukweli usiopingika kuwa, mwanamke hufurahishwa na ubandidu wa dume lake, kuanzia kwenye muonekano hadi kwenye mechi. Nyie jipodoeni tu kama wadada mkidhani mtapendwa kwa nguo zenu na manukato. Miss Natafuta leo umepiga ikulu
We waache wajipodoe tu sisi tunawamegea mademu zao kiaina.
 
Women don't come with instructions wallahi [emoji23][emoji23][emoji23]

A man can be all that but treats you wrong in every aspect, that's a turnoff point kwakweli

Ukishapitia mengi duniani humu, utajua tu kuwa vitu vingi sana doesn't matter, tunajiongelesha tu
 
Back
Top Bottom