Small Axe
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 652
- 464
Mwanaume ameumba kufanya kazi,kua mlinzi wa familia,mwanaumbe kukaza msuli mwanaume ni kuwamsafi kiaina ila isipitilize kwana utakuta wengine..mikono haina tofauti ya ya miss tz.msafi mpaka anakelaa
Akija kwangu nampa jembe au nyundo akafanye kazi ili ajitofautishe na mwanamke mlembo
Ndo maana siku hizi idadi ya mashoga imeongezeka kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na zama za nyerere na mwinyi..MWANAUME KAZI ndio mambo mengine yanafuate
Akija kwangu nampa jembe au nyundo akafanye kazi ili ajitofautishe na mwanamke mlembo
Ndo maana siku hizi idadi ya mashoga imeongezeka kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na zama za nyerere na mwinyi..MWANAUME KAZI ndio mambo mengine yanafuate