Wanawake hawajali wanaume wanavaa nini, wanaume kutwa kuwapangia wanawake muonekano wao, mnawashwa nini?

Wanawake hawajali wanaume wanavaa nini, wanaume kutwa kuwapangia wanawake muonekano wao, mnawashwa nini?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kusema kweli wanawake huwa hatujali kabisa kuhusu mavazi wala mitindo ya nywele za wanaume, lakini wanaume sasa kutwa kuchwa mara makeup za wanawake zimefanya nini, sijui kucha zimefanya nini, mara makeup, mara nguo sijui zimefanya nini yaani ili mradi tu.

Shida yenu ni nini kwani? Nani kawaambia wanawake wanavaa kwaajili yenu, au wanajipamba kwaajili yenu? Yaani mnawashwa na nini yaani mwanamke akiwa na kucha ndefu, au akivaa wigi, au akipiga min yake fresh, nk?

Mwanaume anapenda nywele za hivi, mwanaume anapena uvae hivi, mwanaume anapenda usuke hivi, mwaume anapenda sura natural hawapendi makeup alaaaaah sasa si uweke hivyo vitu unavyopenda mwilini mwako, makasiriko yanatoka wapi kuja kuamrisha wengine wawe vile unataka?

Au nasema uongo JF ladies?

Comments ziwe fupi fupi jamani :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:
 
Wakuu,

Kusema kweli wanawake huwa hatujali kabisa kuhusu mavazi wala mitindo ya nywele za wanaume, lakini wanaume sasa kutwa kuchwa mara makeup za wanawake zimefanya nini, sijui kucha zimefanya nini, mara makeup, mara nguo sijui zimefanya nini yaani ili mradi tu.

Shida yenu ni nini kwani? Nani kawaambia wanawake wanavaa kwaajili yenu, au wanajipamba kwaajili yenu? Yaani mnawashwa na nini yaani mwanamke akiwa na kucha ndefu, au akivaa wigi, au akipiga min yake fresh, nk?

Mwanaume anapenda nywele za hivi, mwanaume anapena uvae hivi, mwanaume anapenda usuke hivi, mwaume anapenda sura natural hawapendi makeup alaaaaah sasa si uweke hivyo vitu unavyopenda mwilini mwako, makasiriko yanatoka wapi kuja kuamrisha wengine wawe vile unataka?

Au nasema uongo JF ladies?

Comments ziwe fupi fupi jamani :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:
Mwanume unayemzungumzia hapa ni yupi?
1. Hawara
2. Mume
3. Mchepuko au
4. Kibenten.???

By the way, kama mwanaume ndo mlipaji wa hayo makitu yako, utapangiwa tu..!!
 
kama umeolewa nachelea kusema mume wako kalamba garasa..

na kama bdo hujaolewa bas sababu ya ww kuchelewa kuolewa yaweza kuwa haya unayoyasema..
Mkuu pole kwa spidi, umekuja kwa nguvu hadi umepotea kwenye mada:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: huna cha kusema umehamia kwenye mada nyingine... nani kakwambia kila mwanamke goal ni kuolewa au kila mwanaume goal ni kuoa? Rudi kwenye mada kwanza, unanimalizia nguvu ya kujibu comments za maana:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:
 
Embu punguza speed kidogoooo.....!!!
Tembelea wale dada poa alafu waulize kwanini uwa wanavaa vile wanavyovaa ukipata jibu baki nalo.
Umesoma mada ukaelewa? Unajua kuwa kuna wanaume malaya/ukahaba eeeh, wana pigo zao na wao, una lipi la kuwaambia? Haya rudi kwenye mada upesi🌚🌚
 
Hapo mwanzo Mungu alimuumba Adamu, baadae Mungu akaona sio vema Adamu awe pekeake. Akampatia msaidizi kutoka katika ubavu wake wa kushoto awe tulizo lake la moyo baada ya uchovu wa kazi za kule bustanini

Sasa huyu msaidizi asipokuwa wa kuvutia kwa kujipamba kwa vito vya thamani nitampendaje?
 
Back
Top Bottom