Wanawake hawajali wanaume wanavaa nini, wanaume kutwa kuwapangia wanawake muonekano wao, mnawashwa nini?

Wanawake hawajali wanaume wanavaa nini, wanaume kutwa kuwapangia wanawake muonekano wao, mnawashwa nini?

:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh: Mkuu katafute msaada, yule aliyekuumiza amekupa bonge ya trauma... nilikuwa nasubiri mapoint kibao kumbe mtupu tuu, umejaa makasiriko na maumivu makali... labda ukitibu hiko kidonda kichwa hiko kitaanza kutoa madini.... vinginevyo utaendelea kutukana tu, wazidi kukujaza ujinga uharibikiwe.... find help Mkuu
Sihitaji msaada wowote, mimi najitosheleza. Naweza kukusaidia wewe na bwana ako asiekua na sauti ya kukukataza kuvaa nguo zisizokua na staha.

Umepiga porojo tu tangu uko juu lakini hauna hoja ya kutetea mada uliyoileta hapa. You are empty-headed, dumfool and a shame to your parents

Am telling you the truth, your body is priceless, no money in the world can buy it but if you choose to show it for free in public by shaking it or dressing half naked, who I’m I to hate it ?

I will look at it and enjoy it . When you show us something priceless for free me and my guys will love and enjoy it, but my wife or daughter can never ever go out half naked because I control them.
 
Mwanaume anapenda nywele za hivi, mwanaume anapena uvae hivi, mwanaume anapenda usuke hivi, mwaume anapenda sura natural hawapendi makeup alaaaaah sasa si uweke hivyo vitu unavyopenda mwilini mwako, makasiriko yanatoka wapi kuja kuamrisha wengine wawe vile unataka?
Mum, mbona ni simple tu, kama hutaki kuongozwa unakuwa single tu maisha yako yote. Hakuna atakayekupangia.

Siyo una mume halafu unavaa kikahaba kumuaibìsha huyo mwamba. Utaumia
 
Njia rahisi ya kujua mwanaume ambaye hana future na wewe ni yule ambaye hafatilii unavaa nini!
 
Buhahahaaa, mfalme unatawala kipi? According to who? :BearLaugh: :BearLaugh: Ni kuwashwa washwa tu... kope ziko kwamwingine halafu zinakutekenya wewe.... embu lete point ya maana bana, unaniangusha kwa hizi low capital na forced labor:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:
Poor you, kwa hizi akili zako.
Utakuja kupost wa "natafuta mume nina miaka 40"
 
Back
Top Bottom