Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
🤣🤣🤣🤣atanikagua bimkubw
Si yupo nawe hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣atanikagua bimkubw
Buhahahaaa, mfalme unatawala kipi? According to who?Mwanaume ni mfalme, na mfalume hapangiwi.
Anapanga anachokitaka, kama hakinivutii kwanini nisikupangie? Uweke mapaja nje nani ayaon̈e?
Yaani uweke makope ya bandia, Nywele za bandia, kucha za bandia, ngozi ujichubue sasa si bora nioe roboti za elon musk.
Kaa natural nifaidi uumbaji wa Mungu.
Ni kuwashwa washwa tu... kope ziko kwamwingine halafu zinakutekenya wewe.... embu lete point ya maana bana, unaniangusha kwa hizi low capital na forced labor


Niko mwenyewe hapa,fika haraka tafadhali sipendi uharibikiwe.🤣🤣🤣🤣atanikagua bimkubw
Si yupo nawe hapo
Dada we rudi tu kwenye mada za siasaWakuu,
Kusema kweli wanawake huwa hatujali kabisa kuhusu mavazi wala mitindo ya nywele za wanaume, lakini wanaume sasa kutwa kuchwa mara makeup za wanawake zimefanya nini, sijui kucha zimefanya nini, mara makeup, mara nguo sijui zimefanya nini yaani ili mradi tu.
Shida yenu ni nini kwani? Nani kawaambia wanawake wanavaa kwaajili yenu, au wanajipamba kwaajili yenu? Yaani mnawashwa na nini yaani mwanamke akiwa na kucha ndefu, au akivaa wigi, au akipiga min yake fresh, nk?
Mwanaume anapenda nywele za hivi, mwanaume anapena uvae hivi, mwanaume anapenda usuke hivi, mwaume anapenda sura natural hawapendi makeup alaaaaah sasa si uweke hivyo vitu unavyopenda mwilini mwako, makasiriko yanatoka wapi kuja kuamrisha wengine wawe vile unataka?
Au nasema uongo JF ladies?
Comments ziwe fupi fupi jamani![]()
![]()
![]()

Tuanze na wewe mkuu, we unavaa na kujiremba kwa ajili ya naniWacha tupashe, kila jukwaa linamfaa kila mtu, haya rudi kwenye mada Mkuu 🌚 🌚
Kw akilinya kawaida demu anapendeza ili apate attention toka kwa wanaume😅😅Ndio unavyojipaga moyo hivyo kila ukiona mdada kapendeza?![]()
![]()
🤣🤣🤣🤣🤣sitakiNiko mwenyewe hapa,fika haraka tafadhali sipendi uharibikiwe.
la muhimu zaidi kabla ya yote muwe mnajali usafi wa mwili ladies...Naona nimewashika pabaya.... kwani mada haieleweki au?![]()
![]()
kwenye suala la uchafu ukilinganisha wanaume na wanawake tunajua nani anashika bendera, usitake tusogee huko. Haya rudi kwenye mada chaap
kwasababu wanaume sisi n vichwa.Wakuu,
Kusema kweli wanawake huwa hatujali kabisa kuhusu mavazi wala mitindo ya nywele za wanaume, lakini wanaume sasa kutwa kuchwa mara makeup za wanawake zimefanya nini, sijui kucha zimefanya nini, mara makeup, mara nguo sijui zimefanya nini yaani ili mradi tu.
Shida yenu ni nini kwani? Nani kawaambia wanawake wanavaa kwaajili yenu, au wanajipamba kwaajili yenu? Yaani mnawashwa na nini yaani mwanamke akiwa na kucha ndefu, au akivaa wigi, au akipiga min yake fresh, nk?
Mwanaume anapenda nywele za hivi, mwanaume anapena uvae hivi, mwanaume anapenda usuke hivi, mwaume anapenda sura natural hawapendi makeup alaaaaah sasa si uweke hivyo vitu unavyopenda mwilini mwako, makasiriko yanatoka wapi kuja kuamrisha wengine wawe vile unataka?
Au nasema uongo JF ladies?
Comments ziwe fupi fupi jamani![]()
![]()
![]()
Natafuta Ajira unatia aibu hata kukujibu
Umefikiria mwenyewe and this is the best you could come up with? Nakojoaaaaa (in Mange's voice)
haya matusi yanaonesha ulivyokuwa mtupu akilini, afu na hela utakuwa hauna ukakutana na binti high maintance akakunyoosha

ukirudi kwenye mjadala tutaona kama kuna kitu huko kichwani kinachofaa kujibiwa.

Huo ndio ukweli wewe ukionyesha maungo yako hadharani haumkomoi yoyote, wanaume watafurahi kuona sehemu zako nyeti lakini huo ujinga hawawezi kuruhusu ufanywe na wake au mabinti zao![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Natafuta Ajira unatia aibu hata kukujibu
Umefikiria mwenyewe and this is the best you could come up with? Nakojoaaaaa (in Mange's voice)
![]()
![]()
haya matusi yanaonesha ulivyokuwa mtupu akilini, afu na hela utakuwa hauna ukakutana na binti high maintance akakunyoosha
ukirudi kwenye mjadala tutaona kama kuna kitu huko kichwani kinachofaa kujibiwa.
Umechemsha mpaka ukaenda kuanzisha nyuzi ya makasiriko..... huyo aliyekunyoosha aagize wine ntaenda kulipa![]()
Huo ndio ukweli wewe ukionyesha maungo yako hadharani haumkomoi yoyote, wanaume watafurahi kuona sehemu zako nyeti lakini huo ujinga hawawezi kuruhusu ufanywe na wake au mabinti zao


Mkuu katafute msaada, yule aliyekuumiza amekupa bonge ya trauma... nilikuwa nasubiri mapoint kibao kumbe mtupu tuu, umejaa makasiriko na maumivu makali... labda ukitibu hiko kidonda kichwa hiko kitaanza kutoa madini.... vinginevyo utaendelea kutukana tu, wazidi kukujaza ujinga uharibikiwe.... find help Mkuu