Wanawake hawajali wanaume wanavaa nini, wanaume kutwa kuwapangia wanawake muonekano wao, mnawashwa nini?

Buhahahaaa, mfalme unatawala kipi? According to who? Ni kuwashwa washwa tu... kope ziko kwamwingine halafu zinakutekenya wewe.... embu lete point ya maana bana, unaniangusha kwa hizi low capital na forced labor
 
Dada we rudi tu kwenye mada za siasa
Huku hupawezi 👋👋👋👋
 
Lengo kubwa la kuvaa hivo ni kwa ajili ya wanaume hakuna kingine 👐👐
 
Sasa mtu hadi anataka kuvaa uchi kabisa lengo ni nini??

Dada kama wewe huwa unapendeza kwa ajili yako mwenyewe ni wewe
Ila wengine wanapendeza kwa ajili yetu au uongo sweery ??
 
Naona nimewashika pabaya.... kwani mada haieleweki au? kwenye suala la uchafu ukilinganisha wanaume na wanawake tunajua nani anashika bendera, usitake tusogee huko. Haya rudi kwenye mada chaap
la muhimu zaidi kabla ya yote muwe mnajali usafi wa mwili ladies...

haina maana unavaa nguo nzuri kufunika na kuficha uchafu wenye harufu mbaya ndrani, hiyo ni completely useless.

mavazi nadhifu yaambatane na usafi wa wa kina wa mwili.

By the way,
sina hakika na mwanaume anaebabaika na mavazi ya mwanamke. Heshma ndio jambo la maana zaidi my Lady 🐒
 
Una maana from no where mwanaume anakufata anakwambia vaa hivi ama vile, usivae hiki vaa kile??

Kama analipia muache akuamoie moaka utapoanza kulipa wewe.
 
kwasababu wanaume sisi n vichwa.
 
Natafuta Ajira unatia aibu hata kukujibu Umefikiria mwenyewe and this is the best you could come up with? Nakojoaaaaa (in Mange's voice) haya matusi yanaonesha ulivyokuwa mtupu akilini, afu na hela utakuwa hauna ukakutana na binti high maintance akakunyoosha ukirudi kwenye mjadala tutaona kama kuna kitu huko kichwani kinachofaa kujibiwa.

Umechemsha mpaka ukaenda kuanzisha nyuzi ya makasiriko..... huyo aliyekunyoosha aagize wine ntaenda kulipa
 
Huo ndio ukweli wewe ukionyesha maungo yako hadharani haumkomoi yoyote, wanaume watafurahi kuona sehemu zako nyeti lakini huo ujinga hawawezi kuruhusu ufanywe na wake au mabinti zao
 
Mwanaume ni KIONGOZI na MTAWALA.
Je uliyenaye ni mwanaume au mvulana?
 
Huo ndio ukweli wewe ukionyesha maungo yako hadharani haumkomoi yoyote, wanaume watafurahi kuona sehemu zako nyeti lakini huo ujinga hawawezi kuruhusu ufanywe na wake au mabinti zao
Mkuu katafute msaada, yule aliyekuumiza amekupa bonge ya trauma... nilikuwa nasubiri mapoint kibao kumbe mtupu tuu, umejaa makasiriko na maumivu makali... labda ukitibu hiko kidonda kichwa hiko kitaanza kutoa madini.... vinginevyo utaendelea kutukana tu, wazidi kukujaza ujinga uharibikiwe.... find help Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…