Wanawake hawajali wanaume wanavaa nini, wanaume kutwa kuwapangia wanawake muonekano wao, mnawashwa nini?

Sihitaji msaada wowote, mimi najitosheleza. Naweza kukusaidia wewe na bwana ako asiekua na sauti ya kukukataza kuvaa nguo zisizokua na staha.

Umepiga porojo tu tangu uko juu lakini hauna hoja ya kutetea mada uliyoileta hapa. You are empty-headed, dumfool and a shame to your parents

Am telling you the truth, your body is priceless, no money in the world can buy it but if you choose to show it for free in public by shaking it or dressing half naked, who I’m I to hate it ?

I will look at it and enjoy it . When you show us something priceless for free me and my guys will love and enjoy it, but my wife or daughter can never ever go out half naked because I control them.
 
Mum, mbona ni simple tu, kama hutaki kuongozwa unakuwa single tu maisha yako yote. Hakuna atakayekupangia.

Siyo una mume halafu unavaa kikahaba kumuaibìsha huyo mwamba. Utaumia
 
Njia rahisi ya kujua mwanaume ambaye hana future na wewe ni yule ambaye hafatilii unavaa nini!
 
Buhahahaaa, mfalme unatawala kipi? According to who? Ni kuwashwa washwa tu... kope ziko kwamwingine halafu zinakutekenya wewe.... embu lete point ya maana bana, unaniangusha kwa hizi low capital na forced labor
Poor you, kwa hizi akili zako.
Utakuja kupost wa "natafuta mume nina miaka 40"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…