Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Eerh au hutaki kupumzishwa mkuuLyk Seriously...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eerh au hutaki kupumzishwa mkuuLyk Seriously...?
Tag location upate pisi mkuuTupo wengi ndugu wala usijali,.... ukiona mpaka mtu anajiita malaika wa Misukosuko ujue mambo ni bull bull Kmmk. Mi mpak nimeamua kuzira sasa
We jamaa ni kama mimi kabsa MkuuNdio Penzi Liwe la Siku Mbili Tatu Kaka...!! Mtu Unaomba Meeting Tena Sehem Yenye Hadhi na Kila Kitu UnaFix Wewe Lakini Bidada Anatakubali Then Hatokei
Mkuu We Acha Huenda Tuliletwa Tuwe Watazamaji Tu 😂We jamaa ni kama mimi kabsa Mkuu
Huu Mkosi Aisee Ila Kwa Wanaume Mabahiri Wataona ni Bahatimkosi Au Bahati mkuu.
Wapo mi mwenyew ni shuhuda wa hiloKasema anawapa na hela, hayo ya kweli? Kwani kuna mwanamke anakataa hela za yeyote?
Aaah Ata Mie Nimeacha Tu Ataejitokeza Kunipenda Basi Ntaishi Nae TuTupo wengi ndugu wala usijali,.... ukiona mpaka mtu anajiita malaika wa Misukosuko ujue mambo ni bull bull Kmmk. Mi mpak nimeamua kuzira sasa
Pepo la Ngono Ni Baya Sana Lenyewe Huchagua Kukuzuia Usipate Madem ili Uwe Unaishi Nalo Wewe tuNenda kwa mganga hakuwekee Pepo la ngono upendwe
Hela sio tatizo hao viumbe sio mchezo saiv.Huu Mkosi Aisee Ila Kwa Wanaume Mabahiri Wataona ni Bahati
Saivi Nimetulia TuHela sio tatizo hao viumbe sio mchezo saiv.
Nipo dodoma hku lakin mambo si mambo, vipi unatak kunipatia mmoja mkuu ?Tag location upate pisi mkuu
Acha nyege tulia ooooh majini wao utapata mikosi,tafuta pisi yako moja nzuri anza Familia unajiweza.Saivi Nimetulia Tu
Dom sehem gan?Nipo dodoma hku lakin mambo si mambo, vipi unatak kunipatia mmoja mkuu ?
mitaa ya Uzunguni hku
Kijana hela tu.....pia muonekano jiweke msafi kidogoSalam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.
Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).
Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!
Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.
Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
Hapo makao makuu wapo, unataka wife material uweke ndani ?Nipo dodoma hku lakin mambo si mambo, vipi unatak kunipatia mmoja mkuu ?