Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kasema anawapa na hela, hayo ya kweli? Kwani kuna mwanamke anakataa hela za yeyote?GUBU ??
MDOMO MCHAFU ??
UBABE ??
KUTOKUJALI???
UCHOYO??
UBINAFSI??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema anawapa na hela, hayo ya kweli? Kwani kuna mwanamke anakataa hela za yeyote?GUBU ??
MDOMO MCHAFU ??
UBABE ??
KUTOKUJALI???
UCHOYO??
UBINAFSI??
Tatizo lako linaanzia hapa hii ni kazi ya Wanawake ili wapate madanga na sio menNmekusudia Kung'arisha Nyota Yangu Kama Mwezi Angani Ing'ae Kabisa Nmechoka Kua Lonely
Chura anapenda maji lakini sio ya motoKasema anawapa na hela, hayo ya kweli? Kwani kuna mwanamke anakataa hela za yeyote?
Chura anapenda maji lakini sio ya motoKasema anawapa na hela, hayo ya kweli? Kwani kuna mwanamke anakataa hela za yeyote?
Tunaoa walimu na wanawake wenye dhiki na ndoa(mradi aolewe)Inakuwaje kwa sisi wenye hivi vyote kwa pamoja?
🏃🏃🫢Hamia kwa wanaume wenzio (mashoga) huenda tatizo lako likawa solved.
Ikifikaga umri wa kuowa hawa viumbe Wanakuaga hadmu Sana ni kawada na hata ukidate mkigombana kidogo mnaachana tatizo ilo ni tatizo la kiroho obviously linatibika ukienda kanisan au kwenye nguvu za Giza, lakin ukiona unatafuta wa kudate unakosa tatizo ilo ni kubwa Sana maana yake inabid utumie nguvu za giza Tu ndo only option itakayokusaidiaSalam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.
Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).
Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!
Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.
Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
Naskia yanakula umeme sana, Fridge,AC na Heater havioni ndani, Sasa Mwanetu ataweza kugharamia LUKUHadi kufikia Siku ya Jana, bei ya roboti la kike lirembo la Bwana Elon Musk lilikuwa linauzwa dollar 1,500 tu
Kwa hela za madafu ni shilingi milioni 3.7 tu
Fanya kulichukua hilo udumu nalo hadi Uzeeni [emoji847]
Acha unyonge wewe,atakudekea ili kuimarisha nafasi yake ya ushawishi/nguvu kwako,ila hao hao baada ya kipindi kifupi cha kupotezea bila kupata unyonge ama bila kukata tamaa wanaanza kufurika kwako kama mafuriko😁.komaa jamaa angu akizungua potezea kwa muda ila kama umeelewa kitu yenyewe rudia kurusha ndoano hata mara kumi,utakuja kunishukuru siku moyaa🤣Salam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.
Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).
Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!
Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.
Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
Uzuri wa hayo maroboti hayahitaji Peruvian hair kwaajili ya Pasaka Wala EidNaskia yanakula umeme sana, Fridge,AC na Heater havioni ndani, Sasa Mwanetu ataweza kugharamia LUKU
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Lile robot linakupa service zote Mkuu kasoro kupikia Kuni tu ndiyo haliwezi 😜Kaka Kwa Story Nazopewa na Washkaji Zangu Kupendwa na Kudekezwa Inaonekana Dhahiri ni Raha Sana ila Robot Haliwezi Kufanya Hivyo...!! Hii Mada sio Kwamba Nakosa Kudinya ila Love Kama Nayoona kwa Washkaji Hio Mie Sijawai Kuipata Tokea Nizaliwe
Hujayasoma yalivyo. Yanahitaji maintanance kama kawaida, tena inaweza kua ya gharama kuliko unavyofikiria.Uzuri wa hayo maroboti hayahitaji Peruvian hair kwaajili ya Pasaka Wala Eid
Hayanywi Savannah Wala flying fish 🤗
Hayamezi P2 Wala Kuchoma sindano ya kuzuia mashuti
Ila nina wasiwasi yatakuwa Yana Kei ya baridi na hakuna kuchuma Mchicha only missionary position tu😜
sasa ni vigumu kukushauri kitu kwani hujatupa full story yako:Salam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.
Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).
Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!
Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.
Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
Hahahaha....... kwahiyo unashauri tuendelee na akina Mwajuma Ndala ndefu sio 😜🙌Hujayasoma yalivyo. Yanahitaji maintanance kama kawaida, tena inaweza kua ya gharama kuliko unavyofikiria.
Kwanza wewe huna uwezo wa kuyanunua, wacha kuyatunza. Ikiwa mke wa Kitanzania anakushinda, ma-robot ya mabilionea kama Elon Musk yasahau, huna uwezo nayo.
Endelea kula na kubadilisha staili za ngunga tu.
Kaka Kwa Ufupi Sana Pisi Nyingi Hunisifia Mie ni Hb Kiumaumbile Niko Vizuri...!! Mtu wa Yoga Sana...!! Kwenye Kudinya Kuna Bebe Moja Nlioteaga Ikaniambia Mie Ni Mtamu Sana Aiseeesasa ni vigumu kukushauri kitu kwani hujatupa full story yako:
1.je una kazi au upo upo tu
2.umri wako
3.unaweza sex vizuri au una dosari?
4.je una kibamia?
5.una kiungo chochote cha mwili ambacho hakipo sawa
sasa jibu hayo tukusaidie
Mpaka leo tunapanda daladala, Robot la Musk bei yake ni zaidi ya vigari vyetu vya mitumba ya kijapani.Hahahaha....... kwahiyo unashauri tuendelee na akina Mwajuma Ndala ndefu sio 😜🙌