rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
SAwa.Wanaume wote tuko hivi mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAwa.Wanaume wote tuko hivi mbona
Hamia kwa wanaumeSalam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.
Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).
Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!
Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.
Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
Swaga haunaSalam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.
Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).
Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!
Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.
Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
MNENE?GUBU ??
MDOMO MCHAFU ??
UBABE ??
KUTOKUJALI???
UCHOYO??
UBINAFSI??
Mpeni mwongozo kiumeni mwenzenu anakwama wapi?🤠
Mtumie pesa mama yako mjinga weweInafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.
[emoji1787]MNENE?
Katika Vijana Wanaoweza Kuhonga Huku Mkoani Ni Mie Aiseee Mwanamke Wangu wa Mwisho Nlimpa 13 Pro Max Aisee Nishashindwa Kuhonga 5k Labda Vocha Iwe Vocha MkuuDili na levels zako mzee we unajijua kbs kutoa buku tano ni kipengele afu unahangaika na pisi za KFC.
Kula pisi zilizopo wakati unatafuta unayetaka kua nae, kua makini sio kila sehemu upige akili kumbichwa
Rahisisha maisha acha kua na misimamo ya kizamani, sheria nyingi kichwani, ulokole usio na maana ishi kama kijana punguza kua kama kijana alieokoka juzi
Scan sana approach zako ktk mawasiliano
Mama Yangu Juzi Kati Hapo Nlimnunulia Ist Kaka...!! Kama ni Baraka (Bless) za Wazee Nnazo Nyingi TuMtumie pesa mama yako mjinga wewe
Cha kwanza hakikisha wewe mwenyewe unajipenda cha pili zingatia levo zako(kuna wanawake huwezi kuwanao kwenye mahusiano kutokana na levo zako)
Kaka Nishawai Kujaribu Hadi Wale Wakienyeji Lakini Waaaapi...!! Kaka Mie Nahonga Sana Tena Ovyo Ovyo Sijawahi Kujiuliza Mara Mbili Pale Ntakapo Ombwa Pesa na Mwanamke Awe Wangu au Sio WanguJitahidi utongoze wanawake wa hadhi yako hawa wa hadhi ya juu uwe una wanunua tuu lasi hivyo utaishia kujiona una mikosi
Muongezee tena bimkubwa achana na wanawake wa siku hizi wengi ni malaya.Mama Yangu Juzi Kati Hapo Nlimnunulia Ist Kaka...!! Kama ni Baraka (Bless) za Wazee Nnazo Nyingi Tu
Huu ni Mkosi Tu Wala Hakuna cha Mwongozo Iweje Wadada Wananiringia Mie Kuliko Hata Wale Nnao Yazidi Kipato Kama Kigezo ni PesaMpeni mwongozo kiumeni mwenzenu anakwama wapi?🤠
Shukran Kaka
Comrade, uamuzi ni wako. Ni lazima kwanza ufanikiwe kuwa mpendwa. Kupendwa hakuishii kwenye mwonekano tu.Salam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.
Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).
Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!
Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.
Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.