Wanawake hawanitaki, nahisi nina mkosi mkubwa

Wanawake hawanitaki, nahisi nina mkosi mkubwa

Hadi kufikia Siku ya Jana, bei ya roboti la kike lirembo la Bwana Elon Musk lilikuwa linauzwa dollar 1,500 tu

Kwa hela za madafu ni shilingi milioni 3.7 tu

Fanya kulichukua hilo udumu nalo hadi Uzeeni 🤗
 
Salam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.

Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).

Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!

Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.

Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
Hamia kwa wanaume
 
Salam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.

Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).

Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!

Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.

Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
Swaga hauna
 
Dili na levels zako mzee we unajijua kbs kutoa buku tano ni kipengele afu unahangaika na pisi za KFC.

Kula pisi zilizopo wakati unatafuta unayetaka kua nae, kua makini sio kila sehemu upige akili kumbichwa

Rahisisha maisha acha kua na misimamo ya kizamani, sheria nyingi kichwani, ulokole usio na maana ishi kama kijana punguza kua kama kijana alieokoka juzi

Scan sana approach zako ktk mawasiliano
Katika Vijana Wanaoweza Kuhonga Huku Mkoani Ni Mie Aiseee Mwanamke Wangu wa Mwisho Nlimpa 13 Pro Max Aisee Nishashindwa Kuhonga 5k Labda Vocha Iwe Vocha Mkuu
 
Cha kwanza hakikisha wewe mwenyewe unajipenda cha pili zingatia levo zako(kuna wanawake huwezi kuwanao kwenye mahusiano kutokana na levo zako)

Jitahidi utongoze wanawake wa hadhi yako hawa wa hadhi ya juu uwe una wanunua tuu lasi hivyo utaishia kujiona una mikosi
Kaka Nishawai Kujaribu Hadi Wale Wakienyeji Lakini Waaaapi...!! Kaka Mie Nahonga Sana Tena Ovyo Ovyo Sijawahi Kujiuliza Mara Mbili Pale Ntakapo Ombwa Pesa na Mwanamke Awe Wangu au Sio Wangu
 
Salam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.

Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).

Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!

Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.

Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
Comrade, uamuzi ni wako. Ni lazima kwanza ufanikiwe kuwa mpendwa. Kupendwa hakuishii kwenye mwonekano tu.

Ova
 
Back
Top Bottom